Author: Editor

WAZIRI KITHURE KINDIKI ATAHADHARISHA VYOMBO VYA HABARI NCHINI DHIDI YA KUENEZA MATAMSHI YA UCHOCHEZI WA UMMA.

Na Caroline Waforo Waziri wa usalama wa kitaifa Kithure Kindiki ametahadharisha vyombo vya habari nchini dhidi ya kueneza maneno ya uchochezi wa umma. Waziri alizungumza katika uzinduzi wa nne wa mpango wastani ambao unajumuisha kipindi cha mwaka 2023-2027, kikao cha kuhusisha umma na ufafanuzi wa programu ya maendeleo katika kaunti[Read More…]

Read More

Wakaazi wa Marsabit wataka kutekelezwa kwa miradi ambayo imejumuishwa kwenye programu ya maendeleo katika kipindi cha 2023-2027

Na Caroline Waforo Wakaazi katika kaunti ya Marsabit wametaka kutekelezwa kwa miradi ya maendeleo ambayo imejumuishwa katika ruwaza ya serikali kuu ya mwaka 2023/27. Wakitoa maoni yao katika uzinduzi wa nne wa mpango wastani ambao unajumuisha kipindi cha mwaka 2023-2027, kikao cha kuhusisha umma na ufafanuzi wa programu ya maendeleo[Read More…]

Read More

Na Caroline Waforo Serikali itatumia shilingi milioni 612 ili kuunganisha kaunti ya Marsabit na mfumo wa umeme wa taifa, National grid kutoka Loiyangalani hadi mjini Marsabit. Haya yamebainika katika uzinduzi wa nne wa mpango wastani ambao unajumuisha kipindi cha mwaka 2023-2027, kikao cha kuhusisha umma na ufafanuzi wa programu ya[Read More…]

Read More

Serikali yatenga shilingi millioni 300 kufanikisha ujenzi wa mahala pa kuendeleza biashara ya samaki Loiyangalani.

Na Carol Waforo   Katika juhudi za kuwahakikishia wakaazi wa Kaunti ya Marsabit usalama wao wa chakula serikali inapanga kufanya miradi mbalimbali ya maji itakayopiga jeki ukulima. Hii ni pamoja na kujenga mabwa pamoja na kuchimba visima vya maji katika maeneo tofauti humu Jimboni Marsabit. Haya yamebainika katika uzinduzi wa[Read More…]

Read More

IDARA YA ELIMU MARSABIT YAKANA KUWEPO KWA UPUNGUFU WA MADARASA SHULE YA CHEKECHEA YA ELEBOR WAKIITAJA KAMA SIASA

Na Caroline Waforo Baada ya malalamishi ya wakaazi wa eneo la Elebor iliyoangaziwa na Radio Jangwani kuhusu uhaba wa madarasa katika shule ya chekechea ya Elebor iliyoko kaunti ndogo ya Sololo, idara ya elimu humu jimboni Marsabit imelaani malalamishi hayo ikiyataja kama yaliyochochewa kisiasa. Akizungumza na shajara ya Radio Jangwani[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter