Raia 9 wa Eritrea na wawili Ethiopia wapigwa faini ya Sh50,000 au kifungo cha miezi 2 kwa kosa la kuwa nchini Kenya kinyume na sheria.
February 24, 2025
Baadhi a desturi ambayo wazazi wanatumia kuwatibu watoto waliochelewa kutembea imetajwa kuathiri watoto wengi na hata kuwaletea shida za kimwili. Kulingana na Waqo Huqa ambaye ni daktari anayeshughulikia ulemavu watoto amesema wazazi wengi hutumia njia ya kitamaduni ambazo zinaathiri maisha ya watoto na hata kuwasababishia ulemavu. Huqa akizungumzia mila hizo,[Read More…]
Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya ugonjwa wa kisukari siku ya Alhamisi wanadada katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kujiepusha na matumizi ya dawa za kunenepesha mili ikitajwa kuchangia ugonjwa huo. Akizungumza na shajara ya radio Jangwani afisini mwake afisa anayesimamia ugonjwa usiokuwa wa kuambukiza Sororo Abudho amedokezo kuwa dawa hizo zina chembechembe[Read More…]
Idara ya elimu kaunti ya Marsabit imeongeza kiwango cha walimu katika shule za msingi,msingi sekondari (JSS) na shule za upili. Kulingana vyanzo vya habari kutoka tume ya huduma za walimu TSC, vilivyosema na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya kipekee ni kwa takriban walimu 426 waliajiriwa kwa mkataba wa[Read More…]
Onyo kali imetolewa kwa walanguzi wa mihadarati na dawa za kulevya katika kaunti ya Marsabit. Kwa mujibu wa kamishina wa kaunti ya Marsabit James Kamau ni kuwa watakaopatikana wakiuza au kusafirisha mihadarati katika kaunti ya Marsabit watachukuliwa hatua kali za kisheria. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani ofisini mwake, kamishina[Read More…]
Risala za rambi rambi zilisheheni katika misa ya wafu iliyofanyika katika kanisa katoliki ya Maria Consolata (Cathedral) hapa jimboni Marsabit kwa ajili ya kuombea mwendazake Gabriel Gambare aliyekuwa meneja wa Tume ya Haki na Amani (CJPC) katika shirika la Caritas Marsabit. Gambare ametajwa kama mtu aliyejijali na kuwasaidia wasiojiweza katika jamii, na alikuwa[Read More…]
IDARA ya utabiri wa hali ya hewa kaunti ya Marsabit imesema kuwa rasha rasha za mvua wakati wa asubuhi, mchana na hata usiku zinatarajiwa katika sehemu kadhaa za jimbo la Marsabit kuanzia leo November 12 – 18th mwaka huu. Wakati huo imetabiri kuwa mvua kubwa huenda zikapokelewa katika baadhi ya sehemu[Read More…]
LICHA ya matukio ya kigaidi kupungua kwa kiasi kikubwa nchini kuna haja ya idara mbalimbali za serikali na hata washikadau wengine katika jamii kuzidi kushikamana na ili kumaliza kabisa kero ya ugaidi nchini. Afisa kutoka kituo cha kutunga sera na mikakati ya kuzuia ugaidi nchini NCTC, Edwin Wameyo amesema kuwa[Read More…]
Idara ya afya katika ugatuzi ya Marsabit pamoja na nchi jirani ya Ethiopia imeshirikiana kupiga vita magonjwa ya kupooza na ukambi. Licha ya Kenya kupiga teke magonjwa hayo miaka mingi iliyopita inadaiwa kuwa magonjwa hayo yanasababishwa na mwingiliano wa karibu na watu kutoka nchi jirani ya Ethiopia. Akizungumza na shajara[Read More…]
Muaniaji wa nafasi ya mwenyekiti wa shirilikisho la mpira wa miguu FKF tawi la Marsabit Godana Roba Adi amekanusha madai kuwa amewashawishi wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya Simu, Godana ametaja kwamba amefuata mikakati yote inayofaa katika kusaka uungwaji mkono kwenye[Read More…]
Usalama umeimarishwa katika kijiji cha Abbo kaunti ndogo ya Sololo katika kaunti ya Marsabit baada ya zaidi ya wahalifu wapatao 20 wanaoaminika kutoka nchi jirani ya Ethiopia kuvamia kijiji hicho na kuanza kufyatua risasi kabla ya kutoweka kuelekea eneo la Dukale nchini Ethiopia. Kulingana na kamanda wa polisi kaunti ya[Read More…]