Highlights

Wazee wa Kargi wahimizwa kuwa na simu kupokea fedha za Inua Jamii

Na Sabalua Moses

Wazee wenye umri wa miaka 70 na zaidi wanaojiandikisha katika mpango wa Inua Jamii eneo la Kargi wametakiwa kuwa na simu za mkononi ili waweze kupokea fedha zinazotolewa na serikali kupitia mpango huo.

Wito huo umetolewa na naibu chifu wa kata ndogo ya Kargi, Moses Itaanyua.

Akizungumza na kituo hiki kwa njia ya simu, Itaanyua amesema wazee wengi kutoka eneo la Kargi wamejitokeza kujiandikisha, jambo ambalo linaonyesha kuwa wameelewa umuhimu wa mpango huo unaolenga kuwasaidia kujikimu na kuboresha maisha yao.

Radio Jangwani 106.3FM is a community radio station situated in Marsabit County broadcasting from Marsabit town. It is the brain child of the bishop of catholic diocese of Marsabit, Rt. Rev. Peter Kihara. It is established with the objective of reaching the people Marsabit diocese and Marsabit County for evangelization, Education, entertaining and disseminating information to the masses.

1 comment

comments user
Charlie Clements

You’re so awesome! I don’t believe I have read a single thing like that before. So great to find someone with some original thoughts on this topic. Really.. thank you for starting this up. This website is something that is needed on the internet, someone with a little originality!

Post Comment