Viongozi Marsabit wakosoa hatua ya serekali kuvunjilia mbali shirika la NACONNET….
February 4, 2025
Na Caroline Waforo Visa vya utapiamlo vimeongezeka hadi asilimia 17 kutoka asilimia 13.5 katika kaunti hii ya Marsabit. Ongezeko hili likiwa ni kutoka mwezi Julai mwaka jana hadi sasa. Hii ni kulingana na afisa mkuu wa lishe bora jimboni David Buke ambaye amezungumza na shajara ya radio Jangwani wakati wa[Read More…]
Na JB Nateleng, Serekali ya kaunti ya Marsabit kupitia idara ya afya imesambaza madawa katika hospitali na zahanati zote jimboni. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipekee, Waziri wa Afya kaunti ya Marsabit Malicha Boru ameeleza kuwa idara hiyo imesambaza kiwango cha dawa ambayo kinagharimu shilingi millioni 50 katika[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Mwanammke mmoja aliyeuwawa jumatatu jioni kwa kudungwa kisu mara kadhaa na mumewe amezikwa hii leo katika kijiji cha Manyatta Chorora eneo la Badassa kaunti ya Marsabit. Hafla hii ilichelewesha hadi leo ili kuruhusu upasuaji kufanyika. Kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu wa hospitali ya rufaa ya Marsabit Kussu[Read More…]
Na Joseph Muchai, Huku ongezeko katika maambukizi ya ugonjwa wa malaria likizidi kushuhudiwa katika kaunti ya Marsabit serikali ya kaunti kipitia wizara ya afya imesema kwamba iko tayari kukabiliana na magonjwa yanayoambukizwa na pia yanayotokana na mabadiliko ya hali ya hewa. Akiongea na kituo hiki waziri wa afya kaunti Marsabit[Read More…]
Na JB Nateleng Serekali imetakiwa kulinda katiba pamoja na haki za wananchi wa Kenya ili kutatua mzozo ambao utasababisha maafa nchini. Haya ni kwa mujibu wa Mkurugenzi wa shirika la MWADO, Nuria Gollo. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya kipekee Nuria amesema kuwa ipo haja ya serekali[Read More…]
Na Samuel Kosgei SERIKALI ya kaunti ya Marsabit inalenga kuendeleza zoezi la kupunguza idadi ya wafanyakazi katika idara mbali mbali za kaunti. Katibu wa kaunti na pia mkuu wa wafanyakazi wa kaunti Hussein Sasura ameambia shajara kuwa lengo kuu la zoezi hilo ni kupunguza gharama ya kulipia mishahara ya wafanyakazi[Read More…]
Na Waandishi Wetu, Mwanaume mmoja ameshtakiwa katika mahakama kuu ya Marsabit kwa mauaji. Mahakama imearifiwa kuwa mnamo tarehe kumi na tatu mwezi Oktoba mwaka wa 2023 katika eneo la Diibu Dadacha kaunti ndogo ya Sololo, kaunti ya Marsabit mshukiwa Doti Waqo Sora alimuua mamake Safao Waqo kwa kumkatakata. Mshukiwa aliwasilishwa[Read More…]
Maadalizi ya hafla ya mazishi ya mwanammke mmoja aliyeuwawa jana jioni kwa kudungwa kisu mara kadhaa na mumewe yanaendelea katika kijiji cha Manyatta Chorora eneo la Badassa kaunti ya Marsabit. Kwa mujibu wa naibu chifu wa eneo la hilo Hussein Abdub ni kuwa mama huyo aliuwawa na mumewe baada ya[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Zaidi ya wanafunzi 500 katika shule saba za upili katika eneo bunge la Laisamis wamenufaika na mradi wa kuwalipia karo kupita chakula, maarufu Food for Fees kutoka kwa shirika lisilo la kiserekali la Kenya Drylands Education Fund (KDEF). Akizungumza wakati wa zoezi la uzinduzi wa mradi huo[Read More…]
Na Samuel Kosgei Rais William Ruto leo amekuwa mwenyeji wa viongozi wa Umoja wa Afrika katika mkutano jijini Nairobi ili kuratibu mikakati ya maendeleo iliyoainishwa chini ya Mageuzi ya Kimuundo ya Umoja wa Afrika. Ruto amesisitiza hitaji kubwa la mabadiliko barani, akibainisha kuwa Afrika inakabiliana na changamoto za kiuchumi, maendeleo[Read More…]