Viongozi Marsabit wakosoa hatua ya serekali kuvunjilia mbali shirika la NACONNET….
February 4, 2025
Na Caroline Waforo, Huduma za matibabu katika hospitali za umma katika kaunti ya Marsabit zinataendelea kuathirika hata zaidi baada ya wahudumu wa maabara kuanza rasmi mgomo wao usiku wa kuamkia leo jumatano. Akizungumza na Shajara Ya Radio Jangwani kwa njia ya simu katibu wa muungano wa wahudumu wa maabara Barako[Read More…]
Na Talaso Huka, Mwanaumme mmoja mwenye umri wa makamu amefungwa kifungo cha miaka mitano gerezani baada ya kupatikana na kosa la kumjanisi mtoto wa miaka saba. Mshukiwa Roba Godana Tura anadaiwa kwamba mnamo tarehe 2 mwezi wa mechi mwaka huu wa 2024 katika eneo la kiwanja ndege hapa mjini[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Jamii imetakiwa kutowaficha watoto wanaougua ugonjwa wa kupooza kwa ubongo maarufu Cerebral Palsy. Kwa mujibu wa afisa wa afya ya jamii katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Zainabu Huqa ni kuwa jamii ya Marsabit bado inawaficha watoto wanaougua maradhi hayo huku akiwataka kuwapeleka katika vituo vya kiafya ili[Read More…]
Na Caroline Waforo & Naima Abdullahi, Idara ya usalama mjini Marsabit itashirikiana na wazee wa jamii katika kudumisha usalama mjini. Hili litafanikishwa kwa kuandaa mikutano ya kiusalama na wazee wa vijijini kuanzia wiki ijayo. Akizungumza na shajara ya radio jangwani afisini mwake kaimu kamishna wa Marsabit ya kati Kepha Maribe[Read More…]
Na JB Nateleng, Ni jukumu la wananchi kuhakikisha kuwa wanapata huduma bora kutoka kwa afisi za serekali. Haya ni kwa mujibu wa afisa kutoka Tume ya haki za Kiutawala (CAJ) almaarufu “office of ombudsman” Koech Kipkogei. Akizungumza na idhaa hii kwenye hafla ya kutoa hamasa kwa vijana, iliyoandaliwa hapa mjini[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Kuhubiri hakuhitaji Degree. Ndio kauli ya Maimamu wa msikiti wa Jamia hapa mjini Marsabit Sheikh Mohamed Noor. Akizungumza na Radio Jangwani kwa njia ya kipee Sheikh Noor ameitaka serekali kutupilia mbali hitaji la viongozi wote wa kidini kuwa na cheti cha degree ili kuruhusiwa kuhubiri. Sheikh Noor[Read More…]
BY ELIAS JALLE As we approach the October-November-December (OND) 2024 “Short Rains” season, the Kenya Meteorological Department has released a detailed climate outlook for Marsabit County. This season is crucial for the region, particularly for agriculture and water resources, and understanding the forecast is essential for local communities and stakeholders.[Read More…]
Na Caroline Waforo, Serikali ya kaunti ya Marsabit imekanusha madai ya ubaguzi katika utoaji wa ajira hivi maajuzi haswa kwa wahudumu wa afya. Hii ni baada ya wauguzi wanagenzi kulalamika kuwa hakukuwa na uwazi katika utoaji wa ajira huku pia wakilalamika kutengwa. Madai haya yamekanushwa na katibu wa serikali ya[Read More…]
Na JB Nateleng & Naima Abdullahi Wakazi wa Marsabit wametoa hisia zao kuhusiana na mgomo wa manesi ambao umeanza hii Leo kote nchini wakisema kuwa mgomo huu unahatarisha maisha ya wananchi ambao wanategemea huduma za afya kutoka kwa hospitali za umaa. Baadhi ya waliozungumza nasi wamesema kuwa mgomo wa manesi[Read More…]
NA ISAAC WAIHENYA Jamii ya Marsabit imetakiwa kuwalinda wanyamapori pamoja na mazingira ili kuzuia mizozo kati ya wanadamu na wanayamapori. Kwa mujibu wa mratibu wa maswala ya mazingira Justus Nyamu ni kuwa japo kaunti ya Marsabit haijaripoti visa vya uwindaji haramu ila bado ipo hoja ya kuhifadhi wanyama pori hao.[Read More…]