Wanaharakati waitaka serikali kuharakisha mchakato wa kutuma pesa za kufadhili masomo ili kunusuru wanaofukuziwa karo.
May 16, 2025
Na Adano Sharamo Chama cha wanasheria nchini-LSK kimesisitiza kwamba sheria ya fedha 2023 ilikosa kuafikia vigezo vinavyotakikana kabla ya kuanza kutekelezwa. LSK kupitia rais wa chama hicho Eric Theuri kiliambia mahakama kuu kwamba kina wasiwasi kwamba kuna baadhi ya vipengele kwenye sheria ambavyo vina utata ikisitiza haja ya mahakama kuvifutilia[Read More…]
Na Isaac Waihenya Rais Wiliam Ruto ameelezea kujitolea kwa serekali ya Kenya Kwanza kuimarisha maisha ya mwananchi wa chini. Rais Ruto aliyasema hayo katika ukumbi wa KICC jijini Nairobi wakati wa uzinduzi wa mpango wa kuwapa uwezo wahudumu wa bodaboda kote nchini. Mpango huo pia unawapa wanabodaboda mbinu bora[Read More…]
Na Adano Sharamo Serikali imetangaza Jumatano wiki hii kuwa sikukuu ya kuadhimisha Eid-ul adha. Waziri wa usalama wa ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki ametoa tangazo hilo kupitia notisi ya gazeti la serikali. Eid-Ul-Adha hutumika kuashiria kilele cha hijja ya kila mwaka kwa mahujaji wanaoenda Mecca, mji mtakatifu wa waislamu.
Na Adano Sharamo Bunge limepitisha kipengee tata cha mswada wa fedha kinachopendekeza ushuru wa asilimia 16 kwenye bidhaa za mafuta ya petroli kutokama asilimia 8. Kwenye kikao jumla ya wabunge 184 wamepiga kura kuunga mkono kupitishwa kwa kipengee hicho huku 88 wakipinga. Jumla ya wabunge 272 wa walihudhuria kikao hicho[Read More…]
Na Adano Sharamo Kenya imesaini mkataba wa maelewano na muungano wa bara Ulaya-EU ambao utaimarisha biashara baina ya Kenya na nchi 27 za bara Ulaya. Akizungumza kwenye ikulu rais William Ruto amesema kwamba kwenye makubaliano hayo Kenya itaongeza kiwango cha bidhaa za kilimo ambazo zinauzwa katika masoko ya Ulaya. Rais[Read More…]
Na Isaac Waihenya Waziri wa fedha Njuguna Ndung’u hii leo anatarajiwa kusoma Bajeti ya 2023/24. Hii ndiyo bajeti ya kwanza ya utawala wa Rais William Ruto na Waziri Ndung’u anatarajiwa kusoma makadirio ya Ksh.3.6 trilioni. Kamati ya Fedha ya Bunge la Kitaifa inapendekeza nyongeza ya Ksh.80.7 bilioni, huku jumla ya[Read More…]
Na Samuel Kosgei Rais William Ruto amesema kuwa serikali itamzawidi mwanariadha Faith Kipyegon, ambaye ana rekodi ya mita 1500M na 5000M duniani, kitita cha Ksh. 5 milioni kwa rekodi moja na nyumba yenye thamani ya Ksh. 6 milioni kwa rekodi nyingine. Akizungumza katika Ikulu ambapo alimkaribisha bingwa huyo, Rais Ruto[Read More…]
Na Adano Sharamo Viongozi wa Azimio sasa wanamtaka jaji mkuu Martha Koome kuingilia kati na kutatua mzozo wa kumuondoa mbunge maalum Sabina Chege kwenye wadhifa wa naibu wa kiranja wa wachache katika bunge la kitaifa. Azimio iliafikia uamuzi huo baada ya mpango wa kumuondoa Chege kupingwa na spika wa bunge[Read More…]
Na Samuel Kosgei Baraza Kuu la Waislamu Kenya SUPKEM limeendelea kusisitiza kwamba serikali isijihusishe na taasisi za kidini ikizingatia kuwa Kenya ni nchi ya kidemokrasia. Badala yake, SUPKEM imependekeza kuundwa kwa makosa ya kidini ambayo yatatumiwa kutambua watu wanaokwenda kinyume na mafundisho na ambao watakabiliwa na adhabu kulingana na[Read More…]
Na Isaac Waihenya Serekali ya kaunti ya Garissa imeanzisha mikakati ya kukamilisha miradi yote iliyokwama ya ujenzi wa masoko kwa malengo ya kuimarima zoezi la ukusanyaji ushuru. Akizungumza baada ya kuzuru masoko ya Mikono na Suuk Mac D, Gavana wa kaunti hiyo Nathif Jama alisema kando na mipango hiyo ya[Read More…]