Local Bulletins

regional updates and news

Mitihani Ya Kitaifa Itaendelea Kama Ilivyopangwa – Asema Waziri Magoha

By Waihenya Isaac, Mitihani ya kitaifa itaendelea kama ilivyopangwa. Kwa mujibu wa waziri wa elimu Nchini Profesa George Maghoha ni kuwa serekali haipanii kuahirisha mitihani hiyo hata licha ya washikadao Katika sekta elimu kutaka mitihani hiyo kuahirishwa kwa vigezo kuwa watahiniwa hajajiandaa kikamilifu. Akizungumza Katika shule yamsingi ya Mwiki Katika[Read More…]

Read More

IEBC Yawaonya Wanaopanga Kuwania Nyadhfa Mbalimbali Za Kisiasa Katika Uchaguzi Mkuu Mwaka Ujao Dhidi Ya Kutumia Stakabadhi Gushi Za Masomo.

  By Radio Jangwani, Watu wanaopanga kuwania nyadhfa mbalimbali za kisiasa katika uchaguzi mkuu mwaka ujao wameonywa vikali dhidi ya kutumia stakabadhi gushi za masomo. Tume ya Uchaguzi IEBC imesema inashirikiana kwa karibu na Mamlaka ya Kitaifa ya Kuhitimu Kenya National Qualifications Authority  ili kutambua stakabadhi gushi zitakazowasilishwa na wawaniaji mbalimbali. Mwenyekiti[Read More…]

Read More

Kilio Cha Haki – Jamii Ya Wasomali Ya Harti Na Issack Inaoishi Katika Kaunti Ya Isiolo Yalalama.

By Samuel Kosgei, Jamii ya wasomali ya Harti na Issack inaoishi katika kaunti hii ya Isiolo wameelezea dhulma ya kihistoria waliopitia mwaka 1965 iliowaacha umasikini. Dhulma hizo ni zikiwemo kunyanyaswa na hata kupokonywa ardhi walizokuwa wanamiliki wakati huo. Kulingana na  jamii hiyo ni kuwa walipitia hali ngumu kwa kupoteza mali[Read More…]

Read More

Shirika La Haki Afrika Laitaka NCIC Kufunganya Virago Vyake Iwapo Haitawajibika Katika Kudhibiti Mihemko Ya Kisiasa Na Malumbano Nchini.

  By Adano Sharawe, Shirika la utetezi wa haki za kibinadamu nchini Haki Afrika linaitaka Tume ya uiano na utangamano wa kitaifa-NCIC kufunganya virago vyake iwapo haitawajibika katika kudhibiti mihemko ya kisiasa na malumbano makali nchini. Afisa wa maswala ya dharura wa Shirika hilo Mathias Shipetta amesema Tume hiyo imeshindwa kuwakabili[Read More…]

Read More

Serekali Itaendelea Kuwachukuliwa Hatua Viongozi Wachochezi Humu Nchini Kwa Kueneza Siasa Chafu.- Asema Kanali Cyrus Oguna.

By Waihenya Isaac, Serekali itaendelea kuwandama na kuchukuliwa hatua imesisitiza kuwa viongozi wachochezi humu nchini kwa kueneza siasa chafu. Haya kwa mujibu wa msemaji wa serekali kanali Cyrus Oguna. Akizungumza na wananshi wa habari akiwa mjini kilifi alipozuru kukagua miradi ya serekali, Oguna amesema kuwa serekali haitamsaza yeyote akaye chochea[Read More…]

Read More

Ulimwengu waadhimisha siku ya kimataifa ya saratani hii leo -kauli mbiu wa mwaka huu ikiwa ni ushirikiano kati ya wagonjwa na wahudumu katika kukabili saratani.

By Jillo Dida Jillo Kaunti ya Marsabit imeungana na wakenya wengine kusheherekea juhudi zake za kukabiliana na ugonjwa wa saratani huku Ulimwengu ukiadhimisha siku ya kimataifa ya saratani hii leo -kauli mbiu wa mwaka huu ikiwa ni ushirikiano kati ya wagonjwa na wahudumu katika kukabili saratani hapa nchini. Maadhimisho ya[Read More…]

Read More

Visa vya talaka kati ya wanandoa wa jamii zinazoishi katika kaunti ya Marsabit viongezeka. – Asema Kadhi Mkuu wa Mahakama ya Marsabit Ibrahim Tullu.

  By Samuel Kosgei, Kadhi Mkuu wa Mahakama ya Marsabit Ibrahim Tullu ameonesha masikitiko yako kutokana na ongezeko la visa vya talaka kati ya wanandoa wa jamii zinazoishi jimbo hili. Kadhi Tullu akisema na shajara ya jangwani amekiri kuwa tangu ajiunge na idara ya mahakama ktk kaunti ya Marsabit September[Read More…]

Read More

Serikali Kuwachukulia Hatua Kali Viongozi Waliohusika Katika Kupanga Na Kufadhili Mapigano Ya Kikabila Kaunti Ya Marsabit. – Asema Waziri Matiangi

By Adano Sharawe, Serikali itawachukulia hatua kali za kisheria viongozi waliohusika katika kupanga na kufadhili mapigano ya kikabila yaliyoshuhudiwa kaunti ya Marsabit. Waziri wa Usalama wa Kitaifa Dkt Fred Matiangi amesema serikali inaendelea kuwachunguza viongozi ambao wamekuwa wakiwapa silaha wenyeji kuiba mifugo na kutekeleza mauaji jimboni. Akifika mbele ya Kamati[Read More…]

Read More

Kaunti Ya Marsabit Ni Baadhi Ya Kaunti Zilizotumia Vyema Fedha Za Umaa Katika Mwaka Wa Kifedha Wa 2019/20 Kwa Aslimia 44.1.

By Jillo Dida Jillo, Gavana wa zamani wa Nairobi Mike Sonko anaongoza orodha ya magavana wenye utendakazi duni kwa msingi wa namna walitumia pesa za maendeleo kulingana na taarifa ya bajeti mwaka 2021 iliyotolewa na Hazina ya Taifa. Ripoti hiyo ilifichua kuwa kaunti zenye asilima ndogo ya rekodi ya maendeleo[Read More…]

Read More

Vyama Vya ODM, KANU, NARC Na PNU Katika Kaunti Ya Isiolo Kufanya Kazi Kwa Umoja Ili Kuhakikisha Ripoti Ya BBI Inapata Uungwaji Mkono.

By Samuel Kosgei, Vyama vinne katika kaunti ya Isiolo kikiongozwa na chama cha ODM, KANU, NARC na PNU wamejitokeza na kudokeza kwamba watafanya kazi kwa umoja ili kuhakikisha ripoti ya BBI inapata uungwaji mkono kutoka kwa wakaazi wa kaunti ya Isiolo. Wakiongea na vyombo vya habari katika afisi za ODM[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter