JAMII YA MARSABIT IMETAKIWA KUTOWAFICHA WATOTO WANAOUGUA UGONJWA WA KUPOOZA KWA UBONGO MAARUFU CEREBRAL PALSY NA BADALA YAKE KUWAPELEKA HOSPITALI WAPATA MSAADA.
September 18, 2024
regional updates and news
By Waihenya Isaac, Mwanamume mmoja ameaga dunia wakti akichimba kisima katika eneo la Alamanu mji wa Mararal katika kaunti ya Samburu. Akidhibitisha kisa hicho Kamanda wa polisi katika kaunti ndogo ya Samburu ya kati Alex Rotich amesema kuwa huenda marehemu alifariki kutokana na matatizo ya kupumua kabla afike mwisho wa[Read More…]
By Waihenya Isaac, Watu tisa wamefariki katika ajali iliotokea hii leo asubuhi katika eneo la Soysabu GilGil kwenye barabara kuu ya Nakuru kuelekea Nairobi. Ajali hiyo iliyohusisha Matatu ya kampuni ya Mololine na Lori ilifanyika karibu na hospitali ya St Mary’s Ambapo tisa hao walifariki papo hapo. Akidhibitisha Kisa[Read More…]
By Machuki Denson. Kaunti ya Baringo imekuwa ya kwanza kuupinga na kuangusha mswada wa BBI. Hii ni baada ya patashika nguo kuchanika ndani ya bunge hilo jana. MaMCA watanao pekee ndio walihesabiwa kupioga kura ya kuidhinisha mswada huo wakati madiwani wenzao 30 wakipiga kura ya kuupinga. Madiwani watano walisusia zoezi[Read More…]
By Mark Dida, Mshirikishi wa serikali kuu kanda ya kaskazini mashariki Nicodemus Ndalana ametoa wito kwa wakaazi wa kaunti ya Mandera kupea kipaumbele maswala ya amani baina ya jamii zinazoishi katika eneo hilo. Haya yanajiri baada ya maafisa wa tume ya uwiano na utengamano ya NCIC pamoja na viogozi wa[Read More…]
By Mark Dida, Idara ya polisi haitalegeza kamba Katika juhudi za kukabiliana na wezi wa mifugo hapa jimboni Marsabit. Hayo ni kwa mujibu wa OCPD wa Marsabit ya kati Johnstone Wachira. Wachira ameyataja hayo baada ya maafisa wa polisi kufanikiwa kuwarejesha zaidi ya mifugo 29 walioibiwa jana jioni katika eneo la Mata[Read More…]
By Isaac Waihenya, Wananchi wametakiwa kuwajibika wakti wa uchaguzi na kuwachagua viongozi wenye maadili. Kwa mujibu wa kamishna wa tume ya Uiano na Utengamano Nchini NCIC Denvas Makori ni kuwa ni jambo la kusikitisha mno kuona kuwa wananchi wamekuwa wakiilaumu tume hiyo kutokana na ukosefu wa maadili kutoka kwa viongozi[Read More…]
By Adano Sharawe, Vyombo vya Usalama Jumanne vilifanikiwa kulizima jaribio la shambulizi dhidi ya Kituo cha Polisi cha Turbi eneo bunge la North Horr katika Kaunti ya Marsabit. Hii ni kulingana na Kaimu Mkuu wa Polisi eneo la Turbi David Muthure aliyefichua kwamba watu wanne waliwafyatulia risasi maafisa wa kituo[Read More…]
By Jillo Dida Jillo, Mwanamume mwenye umri wa miaka 48 amemuua mkewe akitumia mshale katika Kijiji cha Kaptimon huko Elburgon kaunti ya Nakuru kutokana na mzozo wa mahindi. Kulingana na ripoti ya idara ya ujasusi ni kuwa, Wilson Koech mumewe marehemu alijaribu kuuza mahindi japo alipingwa na mkwewe na mwanawe.[Read More…]
By Mark Dida, Mwanafunzi mmoja anadaiwa kuuliwa na polisi kwa kupigwa risasi majira ya saa mbili jioni, hapo jana katika mjii wa Mandera. Kulingana na familia, Zakariah Mohamed alipigwa risasi alipokuwa akitoka masomo ya ziada huku wakiandamana na walimu wake. Mvulana huyo alikibizwa katika hospitali ya rufaa mjini Mandera ila[Read More…]
By Jillo Dida Jillo, Mbunge wa Moyale Qalicha Gufu ameiomba serikali na tume ya maridhiano ya kitaifa NCIC kumkamata na kumshtaki aliyekuwa mwakilishi wa wadi ya Torbi, Pius Yatani kwa kutoa matamshi ya uchochezi ya kijamii katika kaunti ya Marsabit miaka miwili iliyopita. Mbunge huyo ameteta kuwa licha ya agizo la polisi kumkamata mwanasiasa huyo, bado[Read More…]