Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
regional updates and news
Na Isaac Waihenya, Wito umetolewa kwa viongozi nchini kuasi siasa na badala yake kuangazia maswala yanayowaadhiri wananchi. Kwa mujibu wa Sheikh Bashir Somo ni kuwa viongozi wamewatelekeza wananchi na badala yake kuanza kurindima siasa za mwaka wa 2027 kuliko kuangazia maendeleo. Akizungumza na meza ya habari ya Radio Jangwani, Sheikh[Read More…]
NA CAROLINE WAFORO Kwa muda mrefu kaunti za wafugaji katika eneo pana la Kaskazini Mashariki zimekumbwa na changamoto ya uhalifu wa wizi wa mifugo ambao umehusishwa haswa na Warani kutoka jamii mbalimbali. Hata hivyo hali hii imeonekana kubadilikwa kwa pakubwa baada ya baadhi ya vijana hao kujiunga na chama cha[Read More…]
Na Joseph Muchai, Wakulima na wafugaji katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuchukua tahadhari na kujiandaa kwa usalama wa chakula siku za hivi karibuni. Hii ni baada ya tahadhari kutolewa na idara la utabiri wa hali ya hewa humu nchini kuonya kuwa kutashuhudiwa uhaba wa mvua kati ya mwezi Machi Aprili[Read More…]
Na Henry Khoyan, Wakaazi jimboni Marsabit wametoa hisia zao kuhusiana na pendekezo la kumpa kinara wa ODM Raila Odinga nafasi ya Waziri Mkuu katika serikali ya Kenya Kwanza. Wakizungumza na Radio Jangwani, baadhi ya wakaazi hao wameunga mkono pendekezo hilo wakisema kuwa litasaidia kuleta umoja na maendeleo humu nchini. Aidha[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Serekali ya kaunti ya Marsabit imetakiwa kuangazia kikamilifu maswala yanayowaadhiri vijana hapa jimboni. Haya yamekariri na kiongozi wa vijana katika eneo bunge la Saku Abdiaziz Boru. Akizungumza na Shajara Ya Radio Jangwani kwa njia ya kipekee, Boru amepuzilia mbali ripoti kutoka kwa mratibu wa bajeti nchini, Magreat[Read More…]
Na Caroline Waforo Raia tisa wa Ethiopia wameshtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa kosa la kuwa nchini Kenya kinyume na sheria. Mahakama imearifiwa kuwa mnamo tarehe 15 mwezi huu wa Februari, katika mto Merille eneobunge la Laisamis kaunti ya Marsabit raia hao tisa wa Ethiopia walikamatwa wakiwa nchini bila stakabadhi hitajika. Tisa hao walifikishwa mahakamani leo tarehe[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Wakaazi katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kushinikiza ongezeko katika fedha zinazoelekezwa katika maswala ya huduma za afya ya uzazi. Kwa mujibu wa mshirikishi wa maswala ya haki za afya ya uzazi SRHR katika shirika la Faith to Action, Rebecca Mayabi, ni kuwa bajeti inayoelekezwa katika maswala ya[Read More…]
Na Caroline Waforo, Serikali ya kaunti ya Marsabit imeorodheshwa katika nafasi ya kwanza kwenye orodha ya kaunti 9 zilizotumia angalau asimilia 30 ya mgao wake kwenye miradi ya maendeleo katika mwaka wa kifedha wa 2023/24. Hii ni katika ripoti aliyotolewa na hazina ya kitaifa. Marsabit imeongoza katika orodha hiyo baada[Read More…]
NA JOSEPH MUCHAI Wakaazi katika kaunti ya Marsabit wamemtakia aliyekuwa waziri mkuu humu nchini Raila Odinga kila la kheri kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa tume ya Afrika huku wengine wakipinga hatua hiyo na kupoteza imani kuwa Odinga atafaulu kutwaa nafasi hiyo. Wakiongea na Radio Jangwani baadhi yao wanahisi kuwa kufaulu[Read More…]
Wakaazi katika kaunti ya Marsabit wamesherehekea siku ya wapendanao kwa njia mbalimbali. Wakiongea na kituo hiki mjini Marsabit baadhi ya wakaazi wamesema kuwa siku hii ni spesheli sana tuu kwa wapenzi lakini pia kwa watu muhimu katika jamii. Hata hivyo wengi wao wanasema kuwa hali ya uchumi imesababisha wengi kutoisherehekea[Read More…]