Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
regional updates and news
Na Samuel Kosgei MWAKILISHI wa wanawake kaunti ya Marsabit Naomi Jillo Waqo ameelezea haja ya kuimarisha hazina ya pesa za kusawazisha maendeleo (equalization fund) katika kaunti za maeneo kame na zilizobaki nyuma. Naomi akiunga mkono mjadala wa mswada huo bungeni amesema kuwa kuna haja ya kaunti zilizosalia nyuma kupewa pesa hizo ya[Read More…]
Na Samuel Kosgei Wananchi wanaoishi katika lokesheni ya Mountain wadi ya Marsabit Central eneobunge la Saku wameonesha masikitiko yao kutokana na kutopewa stakabadhi ya kumiliki ardhi (tittle deeds) mwezi wa tisa mwaka jana kama walivyokuwa wameahidiwa na viongozi wao wakiongozwa na MCA wa eneo hilo. Wakazi hao wakiongozwa na mwanaharakati wa[Read More…]
Waziri wa afya katika kaunti ya Marsabit Malicha Boru amekariri kujitolea kwa idara hiyo kukabiliana na ugonjwa wa Kalazaar hapa jimboni. Akizungumza na Shajara na Radio Jangwani kwa njia ya simu,waziri Malicha amesema kwamba idara hiyo inaweka mikakati ya kunyunyizia dawa maeneo ambayo wadudu wanaoeneza ugonjwa huo wapo. Japo ameahidi[Read More…]
NA ISAAC WAIHENYA Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wameshauriwa kuasi mila potovu na zilizopitwa na muda na badala yake kuangazia mila zinazofaa. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa baraza la makanisa mbalimbali nchini NCCK, tawi la Marsabit mchungaji Saido Diba, ni kuwa ni jambo la kuhuzunisha mno kuona kwamba bado kuna[Read More…]
Gavana wa kaunti ya Marsabit Mohamed Ali amesema kuwa kaunti ya Marsabit inazidi kupiga hatua kimaendeleo. Akizungumza alipozindua manispaa ya Moyale, Gavana Ali amesema kuwa serikali yake inazidi kuwekeza zaidi katika masuala ya maendeleo jimboni huku akitaja hatua ya kufanya Moyale kuwa manispaa kuwa ni mfano tosha kuwa serekali inajali[Read More…]
Msimazi mkuu kwenye mbuga ya wanyama Marsabit national park Augustine Ajuoga amesema k.w.s katika kaunti ya Marsabit wanajiandaa vyema kwa siku ya kusherekea wanyama pori itakayofanyika mechi 3 mwezi ujao huku akihamasisha jamii kujua umuhimu wa kulinda wanyamapori pamoja na mazingira kwa manufaa yao. Akizungumza na shajara ya radio Jangwani[Read More…]
Maafisa kutoka maendelo ya mradi wa Konza mamlaka ya kitaifa ya uchumi wa teknolojia kwa shirikiano na wizara ya mawasiliano na wizara ya maswala ya ndani leo imezindua ujenzi wa kituo cha mafunzo ya kiteknolojia katika eneo la shauri yako katika wadi ya Marsabit central. Hafla hiyo imehudhuriwa na naibu[Read More…]
Na Henry Khoyan Siku chache baada ya kinara wa ODM Raila Odinga kupoteza kwenye uchaguzi wa kuwania nafasi ya uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC), baadhi ya wakaazi wa Jimboni wametoa hisia zao kuhusiana na hatua za kisiasa ambazo waziri mkuu huyo wa zamani anafaa kuchukua. Wakaazi hao[Read More…]
Na Sabalua Moses Msimamizi mkuu anayesimamia maswala ya watoto katika kaunti ya marsabit Mukanzi Leakey ametoa himizo kwa wazazi pamoja na washikadau katika kaunti ya marsabit kuwa makinifu katika kutoa udhibiti kwa watoto wao wanapotumia mitandao ya kijamii. Leakey amesema ijapokua wakaazi katika sehemu nyingi katika kaunti ya Marsabit bado[Read More…]
Na JB Nateleng Wakaazi wa eneo la Baalah Normads iliyoko Korr, eneobunge la Laisamis wamelalamikia kero la uhaba wa maji wakiitaka serekali ya kaunti na serekali kuu kuweza kuwatengenezea visima vya maji. Akizungumza kwa niaba ya wakazi wa eneo hilo, Rose Hosso ambaye pia ni mkazi wa eneo hilo amesema[Read More…]