Local Bulletins

regional updates and news

Mwakilishi wa wanawake wa Marsabit Naomi Waqo ataka pesa za Equalization Fund kutumika kutatua shida za wananchi.

Na Samuel Kosgei MWAKILISHI wa wanawake kaunti ya Marsabit Naomi Jillo Waqo ameelezea haja ya kuimarisha hazina ya pesa za kusawazisha maendeleo (equalization fund) katika kaunti za maeneo kame na zilizobaki nyuma. Naomi akiunga mkono mjadala wa mswada huo bungeni amesema kuwa kuna haja ya kaunti zilizosalia nyuma kupewa pesa hizo ya[Read More…]

Read More

Wakaazi wa Marsabit Central walalamikia ahadi hewa wakati wa vikao vya Public Participation

Na Samuel Kosgei Wananchi wanaoishi katika lokesheni ya Mountain wadi ya Marsabit Central eneobunge la Saku wameonesha masikitiko yao kutokana na kutopewa stakabadhi ya kumiliki ardhi (tittle deeds) mwezi wa tisa mwaka jana kama walivyokuwa wameahidiwa na viongozi wao wakiongozwa na MCA wa eneo hilo. Wakazi hao wakiongozwa na mwanaharakati wa[Read More…]

Read More

Waziri wa afya katika kaunti ya Marsabit Malicha Boru amekariri kujitolea kwa idara hiyo kukabiliana na ugonjwa wa Kalazaar hapa jimboni.

Waziri wa afya katika kaunti ya Marsabit Malicha Boru amekariri kujitolea kwa idara hiyo kukabiliana na ugonjwa wa Kalazaar hapa jimboni. Akizungumza na Shajara na Radio Jangwani kwa njia ya simu,waziri Malicha amesema kwamba idara hiyo inaweka mikakati ya kunyunyizia dawa maeneo ambayo wadudu wanaoeneza ugonjwa huo wapo. Japo ameahidi[Read More…]

Read More

Mwenyekiti wa NCCK, tawi la Marsabit mchungaji Saido Diba, awaraia wanaMarsabit kuasi mila potovu na zilizopitwa na muda……

NA ISAAC WAIHENYA Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wameshauriwa kuasi mila potovu na zilizopitwa na muda na badala yake kuangazia mila zinazofaa. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa baraza la makanisa mbalimbali nchini NCCK, tawi la Marsabit mchungaji Saido Diba, ni kuwa ni jambo la kuhuzunisha mno kuona kwamba bado kuna[Read More…]

Read More

Mji wa Moyale wapandishwa hadhi kuwa Manispaa

Gavana wa kaunti ya Marsabit Mohamed Ali amesema kuwa kaunti ya Marsabit inazidi kupiga hatua kimaendeleo. Akizungumza alipozindua manispaa ya Moyale, Gavana Ali amesema kuwa serikali yake inazidi kuwekeza zaidi katika masuala ya maendeleo jimboni huku akitaja hatua ya kufanya Moyale kuwa manispaa kuwa ni mfano tosha kuwa serekali inajali[Read More…]

Read More

Matayarisho ya  siku ya wanyamapori yafanyika marsabit

Msimazi mkuu kwenye mbuga ya wanyama Marsabit national park  Augustine  Ajuoga amesema k.w.s katika kaunti ya Marsabit wanajiandaa vyema kwa siku ya kusherekea wanyama pori itakayofanyika mechi 3 mwezi ujao huku akihamasisha  jamii kujua umuhimu wa kulinda  wanyamapori pamoja na  mazingira kwa manufaa yao.  Akizungumza na shajara ya radio Jangwani[Read More…]

Read More

Wazazi Marsabit watakiwa kudhibiti matumizi ya mtandao kwa  watoto wadogo.

Na Sabalua Moses Msimamizi mkuu  anayesimamia maswala ya watoto katika kaunti ya marsabit Mukanzi Leakey ametoa himizo kwa wazazi  pamoja na washikadau katika kaunti  ya marsabit kuwa makinifu katika kutoa udhibiti  kwa watoto wao wanapotumia mitandao ya kijamii. Leakey  amesema ijapokua  wakaazi katika sehemu nyingi katika kaunti ya Marsabit bado[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter