Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
NA ISAAC WAIHENYA Ili tupunguze ndoa za mapema katika kaunti ya lazima kwanza tukabiliane na mila potovu ya ukeketaji. Haya yamekaririwa na afisa mkuu katika idara ya jinsia kaunti ya Marsabit Anna Maria Denge. Akizungumza wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya kupambana na ukeketaji nchini yaliyoandaliwa hapa mjini[Read More…]
NA JAMES MUCHAI Mamake watoto mapacha walioripotiwa kuuawa katika manyatta ya Iliman Boru eneo la Dololo Boji katika kaunti ndogo ya North Horr anaendelea kuhifadhiwa katika makao salama ya Charity Sister Marsabit baada ya uchunguzi wa umri kudhibitisha kuwa hajafikisha umri wa miaka 18. Kulingana na ripoti ya uchunguzi wa kimatibabu iliyowasilishwa mahakamani mnamo[Read More…]
.“Sio lazima mradi upitie kwa wanasiasa ndio uwafaidishe wananchi”haya ni kwa mujibu wa kamishna wa kaunti ya Marsabit James Kamau Akizungumza hii leo wakati wa kikao cha kamati ya kutamidhimi majanga katika kaunti ya Marsabit (CSG) Kamau amesema kuwa kumekuweko na kasumba ya wanasiasa kuingilia miradi ambayo inanuia kusaidia jamii[Read More…]
Na JB Nateleng, Vijana katika eneo la Saku wamelalamikia kutengwa na serekali ya kaunti kwa kukosa kuyaidhinisha maswala waliyoibua wakati wa vikao vya kushirikisha umaa (Public Participation) kwenye marekebisho ya bajeti ambayo yanadhamiria kufanyika wiki mbili zijazo. Wakiongozwa na mwenyekiti wa muungano wa manahodha wa mpira wa miguu eneo bunge[Read More…]
NA JB NATELENG Usajili wa watahiniwa wa kibinafsi ambao walikuwa wametarajiwa kuufanya mtihani wa kitaifa KCSE mwezi wa saba mwaka huu umeahirishwa. Kulingana na mkurugenzi wa elimu kaunti ya Marsabit Peter Magiri ni kwamba usajili huu umeahirishwa baada ya kesi iliyowasilishwa mahakamani kuhusiana na mchakato wa kupinga watahiniwa wa kibinafsi[Read More…]
Na Caroline Waforo, Wakaazi wa eneo la Kakare Scheme eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit wanalalamika kuhangaishwa na simba wawili ambao wanaendelea kuwavamia mifugo wao na hata kuwaua kadhaa katika kipindi cha wiki tatu sasa. Ann Letur mmoja wa wakaazi hao amesema kuwa ngombe wake walivamiwa na kuuwawa siku[Read More…]
NA CAROLILINE WAFORO Serikali imeendelea kukosolewa kwa kuvunjiliwa mbali shirika la National Council for Nomadic Education NACONNET na ambalo limekuwa la manufaa makubwa kwa wakaazi wa maeneo kame ikiwemo kaunti ya Marsabit haswa katika kuinua kiwango elimu. Wakizungumza na wanahabari leo Jumanne baadhi ya viongozi jimboni wamekosoa baraza la mawaziri kwa uamuzi[Read More…]
NA ISAAC WAIHENYA Hospitali ya Laisamis Level 4 katika kaunti ya Marsabit, inajivunia kile imekitaja kwamba ni hatua katika utoaji wa huduma baada ya kufanikiwa kufanya zoezi la upasuaji wa kwanza wakati mama anapojifungua. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia simu mkurugenzi mkuu wa hospitali hiyo Liban Wako[Read More…]
NA JB NATELENG Huku dunia ikiadhimisha wiki ya Maelewano ya Dini Ulimwenguni, wito umetolewa kwa viongozi wa dini kuweza kueneza injili kwa waumini bila ubaguzi huku viongozi hawa wakishauriwa kuweza kujitolea kikamilifu katika kufuata na kuendeleza uhusiano mwema kati ya madhehebu mbalimbali jimboni Marsabit. Akizungumza na idhaa hii kwa njia[Read More…]
Na Abdiaziz Yusuf, dara ya maeneo kame na ustawi miji kwa ushirikiano na mamlaka ya kupambana na majanga NDMA hii leo imekabidhi gari la kusambaza maji maarufu (water bowser) kwa wakaazi wa dadach lakole wadi ya Butiye katika juhudi za kupambana na kero la ukosefu wa maji katika eneo hilo.[Read More…]