WAUGUZI KATIKA KAUNTI YA MARSABIT WAMEAPA KUENDELEA NA MGOMO WAO HADI PALE SERIKALI YA KAUNTI YA MARSABIT ITAKAPOSHUGHULIKIA MATAKWA YAO YOTE.
September 19, 2024
Na Samuel Kosgei Mbunge wa Laisamis Joseph Lekuton amependekeza bunge kubuni kutengeneza sheria itakayoruhusu wakenya wanaoaga dunia kupeana viungo vya mwili kwa hiari akisema hatua hiyo itasaidia wakenya wanaohitaji viungo hivyo. Lekuton akizungumza kwenye hafla ya kutoa damu katika hospitali kuu ya Marsabit Ijumaa amesema – kama vile wakenya husaidia[Read More…]
NA SAMUEL KOSGEI Katika juhudi za kukuza kilimo miongoni mwa vijana, wazazi katika Kaunti ya Isiolo wameombwa kuwashirikisha watoto wao katika shughuli za ukulima, kuanzia kiwango cha vijiji na katika wadi mbalimbali. Wito huu umetolewa na Charlene Ruto, binti ya Rais William Ruto, wakati alipofanya ziara katika Kaunti ya Isiolo[Read More…]
NA LELO Baadhi ya wananchi waliozungumza na idhaa hii wakiongozwa na Steven Roba wameonekana kuunga mkono mapendekezo ya bajeti hiyo wakisema kuwa yametilia maanani suala la mfumuko wa bei huku wakitarajia kuimarika kwa uchumi kutokana na hayo. Kwa upande mwingine, baadhi ya wakaazi wamelalamika wakidai kuwa serikali itawadhulumu kupitia mswada[Read More…]
NA TALASO HUQA Akizungumza nasi afisini mwake Kadiro amesema kuwa ulishaji wa mifugo katika msitu huo mara nyingi huchangia uhalifu na wizi wa mifugo akisema kuwa wafugaji wanaruhusiwa kupeleka mifugo kunywa maji pekee na pia kulisha mifugo hao wakati ambapo kuna kiangazi. Aidha Kadiro amewahimiza wakaazi wa Marsabit kuzidi kupanda[Read More…]
Na Samuel Kosgei NAIBU kamishna wa kaunti ndogo ya Moyale Benedict Munywoki amekariri umuhimu wananchi wa eneo la Dabel kunakochimbwa dhahabu kuzidi kuvumilia hadi marufuku iliyowekwa na serikali itakapokamilika. Munywoki akizungumza na kituo hiki kwa njia ya simu amesema kuwa iwapo wananchi wataepuka kufika eneo la mgodi wa dhahabu basi[Read More…]
NA GRACE GUMATO Afisa anayesimamia chanjo ya Watoto kaunti ya Marsabit Abdub Boru amesema kuwa chanjo za watoto zilizoisha hapo awali sasa zimefika na zimeweza kusambazwa katika kaunti ndogo za North Horr, Laisamis na Moyale. Akizungumza na idhaa hii afisini mwake Boru amesema idadi ya chanjo ya BCG iliyofika eneo [Read More…]
NA GRACE GUMATO Vijana katika kaunti ya Marsabit wamehimizwa kutoa damu kwa wingi ilikusaidia wale walionao upungufu wa damu. Akizungumza na idhaa kiongozi wa vijana kutoka kaunti ya Marsabit Abdiaziz Boru amesema kuwa wiki hii ikiwa ni wiki ya kutoa damu ulimwenguni amewahimiza vijana wajitokeze kwa wingi ili kuokoa akina-mama[Read More…]
Na Samuel Kosgei KAMATI ya fedha na mipango katika bunge la kaunti ya Marsabit imeitaka wananchi wa Marsabit kuhudhuria na vikao vya kudhibitisha miradi waliopendekeza kwenye mikutano ya hapo awali. Mwenyekiti wa kamati hiyo ya fedha Daud Tomasot akizungumza na kituo amesema kuwa ni vyema wananchi kuhudhuria vikao hivyo ili[Read More…]
NA CAROLINE WAFORO Kaunti za Maeneo Kame nchini Kenya zimepokea msaada mkubwa kutoka kwa Serikali Kuu, ambapo Shilingi Bilioni 1 zimetengwa kama fidia kwa wafugaji waliopoteza mifugo yao kutokana na janga la kiangazi. Haya yamethibitishwa na Katibu wa Idara ya Maeneo Kame na Nusu Kame (ASALs), Bw. Kello Harsama, ambaye[Read More…]
Na Johnbosco Nateleng Kiongozi wa vijana katika lokesheni ya Nagayo eneo bunge la Saku, kaunti ya Marsabit Hussein Liban Boru ametaka viongozi kuangazia maswala ya kuwainua vijana katika eneo hilo kwani vijana wengi hawana kazi. Boru amesema kuwa kwa manufaa ya vizazi vijavyo ni sharti viongozi wajitolee na kuwahamazisha[Read More…]