Featured Stories / News

Former accountant at the ministry of education convicted for fraud

By Machuki Dennson The Milimani Anti-Corruption Court has convicted former accountant at the Ministry of Education Christine Chacha, for fraudulently receiving KSh54,000 and falsely accounting for KSh3.3M, in 2009. The Court convicted Chacha for receiving KSh 54,000 purportedly used to pay accommodation for resource persons to facilitate a workshop held[Read More…]

Matata Tease New Album.

Kenyan music group Matata have teased their upcoming album,saying it will revolutionize the Kenyan music scene. On their Twitter account, the group gave fans a little snippet of what their upcoming project. “Our album is a masterpiece. We’re gonna change everything, Kenya is banking on us. This era in history[Read More…]

Mtu auawa Merile na majambazi usiku wa kuamkia Jumanne

Na Silvio Nangori Mtu mmoja ameaga dunia huku mwingine akinusurika na jeraha la risasi katika eneo la Merille kaunti hii ya Marsabit baada ya kuvamiwa na majambazi. Akidhibitisha kisa hicho kamanda wa kaunti ndogo ya Laisamis Wyclif Lang’at amesema kwamba majambazi hao walimvamia marehemu ambaye ni mfanyibiashara mwendo wa saa[Read More…]

Wenyeji wa Moyale waitaka serikali ya Kenya kufanya mazungumzo ya kibiashara na Ethiopia kulainisha hali

Na Winnie Adelaide Kule moyale Wafanyibiashara wameitaka serikali kushughulikia kwa haraka mzozo wa mpaka wa Kenya na Ethiopia ili kuwaruhusu kununua bidhaa bila vizingiti kwa kuvuka Ethiopia. Akizungumza na radio jangwani mwenyekiti wa Chama cha Wanabiashara na Viwanda mjini Moyale Mohammed Ali amesema kwamba serikali ya Kenya inafaa kuzungumza na[Read More…]

Subscribe to eNewsletter