Featured Stories / News

WANAHABARI MARSABIT WAKEMEA MASHAMBULIZI YA MAAFISA WA POLISI DHIDI YA WAANDISHI WA HABARI

Na Samuel Kosgei Muungano wa waandishi wa habari kaunti ya Marsabit wamejiunga na wenzao kote nchini kushutumu dhulma na mashambulizi ya polisi dhidi ya waandishi wa habari wanaopeperusha taarifa. Mwenyekiti wa muungano huo wa wanahabari Michael Kwena akizungumza na meza yetu ya habari amesema kuwa wanahabari wa hapa Marsabit wanasimama[Read More…]

WAKAAZI WA MARSABIT WATAKIWA KUPUUZA PROPAGANDA ZINAZOENEZWA KUHUSIANA NA MAISHA CARD…

Na Caroline Waforo Huku serikali ikiendelea kutoa ufafanuzi kuhusu uhalali na muda wa matumizi wa vitambulisho vya kidigitali Maisha Card, wakaazi wa Kaunti ya Marsabit wametakiwa kupuuza propaganda zinazoenezwa kuhusiana na uhalali na muda wa vitambulisho hivyo. Akizungumza na Shajara afisini mwake afisa wa usajili jimboni Marsabit Michael Oduor ameweka[Read More…]

Subscribe to eNewsletter