Taaluma na malipo anayopata mwanaume huchangia mwelekeo wake wa afya ya akili – Dr. Karani, Psychologist
June 13, 2025
Na Waandishi Wetu Hali ya amani na utulivu inaendelea kurejea katika kaunti ndogo ya Loiyangalani kaunti ya Marsabit baada ya misururu ya utovu wa usalama kushuhudiwa katika siku za hivi punde. Akizungumza na shajara ya Radio Jangwani kamanda wa polisi jimboni Marsabit Leonard Kimaiyo amesema kuwa wananchi wameanza kurejelea biashara[Read More…]
Na JB Nateleng Viongozi wa kidini nchini wamezidi kukosoa hali ya Polisi nchini kutumia wa nguvu kupita kiasi wakati wa kuwakamata wanaharakati wa mitandao na pia viongozi wakisema kuwa hili lazima lisitishwe Kiongozi wa hivi Punde kulaani matukio hayo ni muhubiri Moses Mwatika kutoka kanisa PEFA kaunti ya Marsabit akisema[Read More…]
Na Mwandishi Wetu Jamii zinazoishi katika kaunti ndogo ya Loiyangalani kaunti ya Marsabit zimetakiwa kudumisha amani na kusitisha uhasama unaoendelea kushuhudiwa katika siku za hivi punde. Huu ni wito ambao umetolewa na Baraza la wazee wa jamii ya Rendile ambao wamezungumza na wanahabari leo hii. Salim Kato ni mwenyekiti wa[Read More…]
Na Muchai Joseph Wakaazi katika ya Marsabit wametoa maoni ya mseto kuhusiana na siasa za mapema za mwaka wa 2027. Wakizungumza na shajara ya Radio Jangwani baadhi yao wanahisi kwamba siasa zimeanza mapema wakihoji utendakazi wa viongozi wanasiasa. Aidha baadhi wanahisi kuwa ni jambo la kawaida hapa nchi kwa sisasa[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wametakiwa kushirikiana na shirika la Maji, la Water resource authority haswa wanapopanga kuchimba visima. Kwa mujibu wa mkurugenzi wa shirika la Regional Centre on Groundwater resources Education and Training (RCW) Agnes Mbugua ni kuwa mashirika hayo mawili yanafanya kazi kwa pamoja kuhakikisha[Read More…]
Na waandishi wetu OCS wa Loiyangalani amesafirishwa kwa ndege hadi jijini Nairobi kupokea matibabu baada ya kujeruhiwa na wahalifu. Inaarifika kuwa jana asubuhi mida ya saa nne na dakika 15 nyuma ya Desert Museum katika eneo la Loiyangalani palitokea mviatuliano wa risasi kati ya maafisa wa polisi na majambazi kutoka[Read More…]
Na Caroline Waforo, Idara ya kilimo jimboni Marsabit imeondoa hofu ya uwepo wa nzige waharibifu katika maeneo tofauti ya jimbo hili. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya simu naibu mkurugenzi wa idara ya kilimo jimboni Hassan Charfi amethibitisha kuwa nzige wanaoripotiwa ni nzige-miti yaani Tree Locust na wala[Read More…]
Na JB Nateleng Vijiji vitatu katika eneo la Boru Haro lokesheni ya Dirib Gombo, kaunti ndogo ya Saku kaunti ya Marsabit vimetangazwa rasmi kama vijiji ambavyo vina vyoo vya kuwamudu wanachi wote na kuzuia utupaji wa kinyesi ovyo yaani (Open Defecation Free). Vijiji hivi ambavyo ni kijiji cha Wario Guyo,[Read More…]
Ebinet Apiyo Wito umetolewa kwa wakaazi katika kaunti ya Marsabit kujiadhari dhidi ya kutumia sindano ya kuzuia ugonjwa wa sukari kupunguza kilo na uzito kwani ina madhara mengi kwenye miili wa mwanadamu. Pia ametaadharisha wanaotumia aina flani ya matembe kwa ajili ya kuongeza akisema zina madhara baya kwenye miili yao.[Read More…]
Na Caroline Waforo Visa vya ugonjwa wa kisukari aina ya kwanza inayopatikana miongoni mwa watoto yaani Diabetes type 1 vimeongezeka kwa asilimia 10 hapa katika kaunti ya Marsabit haswa katika maeneo bunge ya North Horr na Laisamis. Haya ni kulingana na afisa anayesimamia magonjwa yasiyo ya kuambukizana katika hospitali ya rufaa ya[Read More…]