Viongozi Marsabit wakosoa hatua ya serekali kuvunjilia mbali shirika la NACONNET….
February 4, 2025
Na Waandishi Wetu, Serikali kupitia idara ya polisi nchini imezindua operesheni kali ya Ondoa Jangili katika kaunti za Marsabit na Isiolo. Operesheni hii inalenga kuwaondoa wahalifu kutoka kundi la Oromo liberation Army {OLA} linaloaminika kuendeleza shughuli za uhalifu katika kaunti hizi mbili ikiwemo biashara ya bunduki harama na ulanguzi wa dawa za kulevya[Read More…]
Na Joseph Muchai, Muda mfupi baada ya muungano wa hospitali za kibinafsi nchini RUPHA kutoa lalama zao kuhusiana na kucheleweshwa kwa malipo ya matibabu kutoka kwa tume ya huduma ya walimu nchi TSC sasa walimu kwenye kaunti ya Marsabit wametoa kauli yao. Akiongea na idhaa hii katibu mkuu wa chama chama[Read More…]
NA ISAAC WAIHENYA Wito umetolewa kwa wakaazi wa Marsabit kuasi kukata miti na kuchoma makaa ili kuzuia uharibifu zaidi wa mazingira. Kwa mujibu wa mshirikikishi wa maswala ya kawi katika kaunti ya Marsabit Joseph Agola ni kuwa jamii inafaa kuwa makini na matumizi ya makaa na kuni ili kuzuia uharibifu[Read More…]
Na Caroline Waforo Kesi ya mauaji ya watoto mapacha katika eneo la Dololo, kaunti ndogo ya Dukana kaunti ya Marsabit haitasuluhushwa nje ya mahakama kupitia mfumo mbadala wa sheria maarufu Alternative Justice System. Haya yamewekwa wazi na hakimu mwandamizi wa mahakama ya Marsabit Simon Arome. Arome amezunguma wakati wa kikao[Read More…]
NA ISAAC WAIHENYA, Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wameonya dhidi ya kutumia njia mbadala za kusuluhisha kesi nje ya mahakama kusuluhisha kesi za dhulma za kijinsia. Onyo hii limetolewa na waziri wa jinsia katika kauti ya Marsabit Jeremiah Ledanyi. Akizungumza wakati wa zoezi lililoyaleta pamoja mashirika ya kijamii,maafisa wa serekali[Read More…]
Na caroline waforo Huku serikali ikitarajiwa kuzindua mpango wa chanjo kwa mifugo nchini wafugaji jimboni Marsabit wameendelea kufafanuliwa kwamba chanjo hiyo sio ya lazima japo wameelezwa kuwa ina manufaa mengi. Akizungumza na shajara ya radio jangwani kaimu mkurugenzi wa madaktari wa mifugo jimboni Marsabit Boku Bodha amesema kuwa chanjo hiyo[Read More…]
Na Caroline Waforo Idara ya mifugo jimboni Marsabit inapanga kutoa msaada wa mifugo kwa wafugaji walioathirika zaidi na kiangazi kilichoshuhudiwa jimboni katika kipindi cha mwaka 2021 hadi mwaka 2023. Mifugo itakayotolewa ni ngamia 400 wa kike wa kati ya miaka 3-4 watakaonufaisha wafugaji kutoka maeneo bunge yote manne. Haya ni[Read More…]
Na Samuel Kosgei BAADHI ya wakaazi wa kaunti ya Meru wameendeleza shutuma kali dhidi ya aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua wakimshutumu kwa kumradharau na kumkosea heshima naibu rais wa sasa Kithure Kindiki na rais William Ruto. Wakizungumza katika gatuzi la Meru wakaazi hao wamesema kuwa Gachagua hakutumia miaka yake miwili[Read More…]
NA ISAAC WAIHENYA Wito umetolewa kwa washikadau mbalimbali wanaoshughulikia haki za watoto katika kaunti ya Marsabit kuasi ufisadi wakati wa kushughulikia kesi za dhulma za kijinsia. Kwa mujibu wa afisa wa miradi katika mradi wa Amkeni Wakenya,kutoka shirika la Caritas Marsabit, George Galgallo ni kuwa baadhi ya waadhiriwa wa dhulma za[Read More…]
Na Samuel Kosgei Kaunti ya Marsabit ina uwezo mkubwa wa kuvutia watalii wengi iwapo juhudi na mikakati mwafaka itawekwa. Hayo ni kulingana na katibu mkuu katika idara ya utalii kaunti ya Marsabit Guyo Ali. Hata hivyo Afisa Ali akizungumza na shajara ya Radio Jangwani amesema kuwa kuna ongezeko kiasi ya[Read More…]