Raia wa Poland anaswa na misokoto 24 inayoshukiwa kuwa bangi mjini Marsabit
Na Caroline Waforo Mwanaume mmoja raia wa Poland amekamatwa na maafisa wa polisi akiwa na…
Maoni mseto Marsabit kufuatia uwekaji wa kamera za NTSA Barabarani.
Na Nyabande Orwa Siku chache baada ya mamlaka ya usafiri na usalama barabarani nchini, (NTSA),…
Gavana Mohamud Ali ahojiwa na seneti kuhusu ripoti ya ukaguzi wa fedha.
Na Samuel Kosgei Gavana wa Kaunti ya Marsabit Mohamud Ali jana alifika mbele ya Kamati…
Shughuli za usafiri zarejea kwenye barabara ya Korr-Marsabit
Na Sabalua Moses Shughuli za usafiri zimerejea kwenye barabara ya Korr-Marsabit hii ni baada ya…
Juhudi zaongezwa kukomesha dhuluma za kijinsia na kulinda haki za msichana.
Na Samuel Kosgei Tume ya Kitaifa ya Jinsia na Usawa ukanda wa Mashariki ya Juu…
Wafugaji wametakiwa kukumbatia uongozi wa wanawake kwa manufaa ya kujenga jamii imara na yenye maendeleo.
Na JB Nateleng Jamii ya wafugaji imetakiwa kukumbatia uongozi wa wanawake kwa manufaa ya kujenga…
Ukeketaji imetajwa kuwa mojawapo ya sababu ya ugonjwa wa fistula Marsabit.
Na Samuel Kosgei 2223 Akizungumza katika hafla ya kujadili mbinu za kukabiliana na dhuluma za…
Akina mama Marsabit wahimizwa kuwa mabalozi wa amani
Na JB Nateleng Akina mama katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwa mabalozi wa amani ili…
Walimu Marsabit walalamikia huduma za matibabu chini ya SHA
Na Nyabande Orwa Serikali inatafuta suluhu ya mvutano uliopo kati ya walimu na bima ya…
Wakaazi Marsabit waendelea kuonywa dhidi ya dhulma za kijinsia
Na Caroline Waforo Siku moja baada ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani wakaazi katika…
Mvua zaanza mapema Marsabit huku hali ya ukame ikiendelea kufuatiliwa.
Na Samuel Kosgei Mvua za msimu wa masika zimeanza kunyesha mapema kuliko kawaida katika baadhi…
Mwanaharakati awataka viongozi wanawake kutetea haki za kina mama.
Na Nyabande Orwa Afisa mkuu wa shirika la Marsabit Women Advocacy and Development (MWADO) Nuria Golo ametoa…