Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
Na Caroline Waforo Mwanaume mmoja wa miaka 32 ameuawa na ndovu katika mbuga ya wanyamapori ya Marsabit. Mwanaume huyo aliyekuwa mkaazi wa Manyatta Chile ni kati ya wanaume wengine wanne waliokuwa msituni kusaka kuni bila ya idhini Akizungumza na Radio Jangwani afisa anayesimamia wanyama pori katika kaunti ya Marsabit James Kemei amesema[Read More…]
Muchai Joseph. Huku uchaguzi wa mwenyekiti wa umoja wa kimataifa Africa ya AUC ukitarajiwa kufanyika jumamosi hii wakaazi wa mji wa marsabit wametoa maoni yao mseto kuhusu swala hilo. Wakiongea na kituo hiki baadhi ya wakaazi hao wanahoji kuwa uchagujzi huo utampatia Odinga nafasi ya kuhudumia waafrika hivyo basi wakionesha[Read More…]
Na Samuel Kosgei Huku ulimwengu leo ikiadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake na wasichana katika sayansi wazazi kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwatia moyo wasichana wao kufanya kozi zinazohusiana na masomo ya sayansi na hisabati ili kuendana na mahitaji ya ajira. Afisa mkuu katika idara ya Utamaduni na Jinsia kaunti ya[Read More…]
Na JB Nateleng’ Mbunge wa Saku Ali Dido Rasso ametoa wito kwa vijana katika eneo la Saku kaunti ya Marsabt kuweza kujiunga na vyuo anuwai vilivyo jimboni Marsabit. Akizungumza katika shule ya upili ya Gadamoji alipokuwa akikabidhi shule hiyo basi pamoja na kuzindua mkatati wa miaka mitano ya shule hiyo,[Read More…]
NA JB NATELENG Siku chache baada ya Rais William Ruto kufutilia mbali hitaji la wakazi wa kaskazini mashariki mwa nchi kufanyiwa ukaguzi kabla ya kupatiwa vitambulisho vya kitaifa viongozi wa maeneo hayo wamekumbatia agizo hilo wakisema itawafaidi katika kuhakikisha kuwa wakazi wa maeneo hayo wamepata vitambulisho. Kiongozi wa hivi punde[Read More…]
Na JohnBosco Nateleng Maendeleo lazima ifikie kila mmoja katika eneo la Saku” haya ni kwa Mujibu wa Mbunge wa Saku Ali Dido Rasso. Akizungumza alipokuwa akikabidhi shule ya upili ya Gadamoji basi pamoja na kuzindua mikakati ya miaka mitano ya shule hiyo, Rasso amedokeza kuwa lazima serekali pamoja na wahizani[Read More…]
NA JB NATELENG Tume ya kuajiri walimu nchini TSC imetakiwa kuipa maslahi ya jamii kipaumbele wakati wa kufanya maamuzi ya uongozi wa shule. Haya yamekaririwa na wazazi eneo la Kumbi Bagasa wakilalamikia kuhusu hatua ya Tume ya kuajiri walimu kutaka kumleta mwalimu mkuu aliyekataliwa na jamii ya eneo hilo katika[Read More…]
NA COROL WAFORO Mwanaume moja wa miaka 38 ameponea kifo baada ya jaribio la kujitoa uhai kwa kujinyonga kutibuka usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Soweto mjini Laisamis kaunti ya Marsabit. Akithibitisha kisa hicho Chifu wa Laisamis Agostine Supeer amesema kuwa mwanaume huyo alijifungia nyumbani kwake na kujinyonga kutumia[Read More…]
NA CAROL WAFORO Kijana wa miaka 16 amefariki baada ya kugongwa na lori la kusafirisha mifugo katika eneo la Laisamis kwenye barabara kuu ya Marsabit-Isiolo. Chifu wa eneo la Laisamis Agostine Supeer amethibitisha kisa hicho kilichotokea tarehe 5 mwezi huu wa Februari. Kulingana na Chifu Supeer kijana huyo aliyekuwa mchungaji[Read More…]
NA CAROL WAFORO Amri ya Rais William Ruto ya kuondoa hitaji la ukaguzi wakati wa kupata kitambulisho na stakabadhi nyingine kwa wakaazi wa eneo la kaskazini mwa kenya limeendelea kupongezwa na viongoni mbalimbali. Akizungumza hii le katika kaunti ya Garissa wakati wa ziara ya rais Ruto kaskazini mashariki, gavana wa kaunti[Read More…]