Author: Editor

Mwanaume mmoja auawa na ndovu katika mbuga ya wanyamapori ya Marsabit.

Na Caroline Waforo Mwanaume mmoja wa miaka 32 ameuawa na ndovu katika mbuga ya wanyamapori ya Marsabit. Mwanaume huyo aliyekuwa mkaazi wa Manyatta Chile ni kati ya wanaume wengine wanne waliokuwa msituni kusaka kuni bila ya idhini Akizungumza na Radio Jangwani afisa anayesimamia wanyama pori katika kaunti ya Marsabit James Kemei amesema[Read More…]

Read More

Mbunge Dido Raso ashutumu wanaokosoa kuondolewa kwa mchujo wa kupokezwa kitambulisho cha kitaifa.

NA JB NATELENG Siku chache baada ya Rais William Ruto kufutilia mbali hitaji la wakazi wa kaskazini mashariki mwa nchi kufanyiwa ukaguzi kabla ya kupatiwa vitambulisho vya kitaifa viongozi wa maeneo hayo wamekumbatia agizo hilo wakisema itawafaidi katika kuhakikisha kuwa wakazi wa maeneo hayo wamepata vitambulisho. Kiongozi wa hivi punde[Read More…]

Read More

Mbunge Ali Dido Rasso ahidi kufikisha maendeleo kona zote za Saku.

Na JohnBosco Nateleng  Maendeleo lazima ifikie kila mmoja katika eneo la Saku” haya ni kwa Mujibu wa Mbunge wa Saku Ali Dido Rasso. Akizungumza alipokuwa akikabidhi shule ya upili ya Gadamoji basi pamoja na kuzindua mikakati ya miaka mitano ya shule hiyo, Rasso amedokeza kuwa lazima serekali pamoja na wahizani[Read More…]

Read More

Mwanaume moja wa miaka 38 ameponea kifo baada ya jaribio la kujitoa uhai kwa kujinyonga kutibuka usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Soweto mjini Laisamis kaunti ya Marsabit.

NA COROL WAFORO Mwanaume moja wa miaka 38 ameponea kifo baada ya jaribio la kujitoa uhai kwa kujinyonga kutibuka usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Soweto mjini Laisamis kaunti ya Marsabit. Akithibitisha kisa hicho Chifu wa Laisamis Agostine Supeer amesema kuwa mwanaume huyo alijifungia nyumbani kwake na kujinyonga kutumia[Read More…]

Read More

Kijana wa miaka 16 amefariki baada ya kugongwa na lori la kusafirisha mifugo katika eneo la Laisamis kwenye barabara kuu ya Marsabit-Isiolo

NA CAROL WAFORO Kijana wa miaka 16 amefariki baada ya kugongwa na lori la kusafirisha mifugo katika eneo la Laisamis kwenye barabara kuu ya Marsabit-Isiolo. Chifu wa eneo la Laisamis Agostine Supeer amethibitisha kisa hicho kilichotokea tarehe 5 mwezi huu wa Februari. Kulingana na Chifu Supeer kijana huyo aliyekuwa mchungaji[Read More…]

Read More

Gavana wa Marsabit Mohamud Ali apongeza rais Ruto kwa kuondoa hitaji la kupigwa msasa wakati wa kusaka kitambulisho….

NA CAROL WAFORO Amri ya Rais William Ruto ya kuondoa hitaji la ukaguzi wakati wa kupata kitambulisho na stakabadhi nyingine kwa wakaazi wa eneo la kaskazini mwa kenya limeendelea kupongezwa na viongoni mbalimbali. Akizungumza hii le katika kaunti ya Garissa wakati wa ziara ya rais Ruto kaskazini mashariki, gavana wa kaunti[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter