Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
Na Caroline Waforo Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya wapendanao dunia visa vya mauaji dhidi ya wanawake bado vinaendelea kushuhudiwa humu nchini. Nyingi ya visa hivi vikiripotiwa kutekelezwa na watu walio kwenye mahusiano ya kimapenzi na wahasiriwa. Kutokana na hayo wakaazi jimboni Marsabit na wananchi kwa ujumla wametakiwa kusuluhisha mizozo ya[Read More…]
Na Carol Waforo Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya wapendanao duniani maarufu Valentine’s Day wananchi katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwaonyesha upendo wafungwa na kukomesha unyanyapaa dhidi yao wanapokamilisha kifungo chao. Ni wito ambao umetolewa na daktari wa afya ya akili katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Dr Victor Karani wakati[Read More…]
Na Samuel Kosgei Serikali kupitia idara ya usajili wa watu kaunti ya Marsabit imezindua huduma mpya ya kuandikisha wanaosaka kitambulisho katika ofisi kuu ya Huduma Centre mjini Marsabit. Kulingana na msajili mkuu katika ofisi ya kitambulisho kaunti ya Marsabit Isaac Kibet ni kuwa huduma hiyo mpya itasaidia kurahisisha kupatikana kwa[Read More…]
Na JB Nateleng Kuna idadi ndogo ya usajili wa wanachama wa Skauti katika kaunti ya Marsabit Haya ni kwa mujibu wa kamishna wa wanaskauti kaunti ya Marsabit John Pope Wambisa. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya Kipekee, Pope ameelezea kuwa imekuwa ni vigumu kuwasajili wakazi wa Marsabit kwa sababu[Read More…]
Na Caroline Waforo Huku taifa likiadhimisha siku ya Redio ulimwengu leo Alhamisi chini ya kauli mbiu Redio na mabadiliko ya Tabianchi wanahabari katika kaunti ya Marsabit na kote nchini wametakiwa kutumia redio katika kuelimisha jamii jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza na shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya simu[Read More…]
Huku dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa ya radio wakaazi wa Marsabit wametaja radio kuwa chombo chenye manufaa kwao kwani wanaitumia kupata habari burudani na elimu. Wakizungumza nasi Wengi wao wametaja kupendezwa na mijadala kwenye radio inayowapa nafasi ya kuchangia na hivyo basi kupata nafasi ya mchango katika kulainisha jamii na[Read More…]
Na Moses Sabalua. Hatua ya benki kuu nchini CBK kutaka benki za kibiashara nchini kupunguza riba ya kupeana mkopo imepongezwa na kutajwa kama njia mojawapo ya kuinua wanabiashara na biashara zao. Mtaalam wa kifedha katika kaunti ya Marsabit John Maina amesema hatua ya Benki kuu ya Kenya kushusha riba kutoka[Read More…]
NA JB NATELENG Msitu wa Marsabit umeweza kuongezeka kwa mwaka mmoja uliopita na hili limeafikiwa baada ya ushirikiano wa idara ya misitu (KFS) pamoja na washikadau na wakazi wa Marsabit Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipekee, msimamizi wa msitu Marsabit Kadiro Oche amesifia ushirikiano ambao umekuwepo kati ya KFS na[Read More…]
NA SAMUEL KOSGEI Aliyekuwa Gavana wa kaunti ya Kiambu Ferdinand Waititu, mke wake Susan Wangari na maafisa wawili wa kaunti,wamepatikana na hatia katika kesi ya utoaji zabuni kinyume na sheria ya shilingi milioni 588. Akitoa hukumu hiyo leo Jumatano, Hakimu Mkuu Thomas Nzioki alisema washukiwa hao walipatikana na makosa 9[Read More…]
Na Carol Waforo Serikali ya kitaifa imetoa fidia kwa waathiriwa wa migogoro ya binadamu ya wanyamapori katika kaunti ya Marsabit. Fidia hii ni ya walioathiriwa katika kipindi cha mwaka 2014 hadi 2021. Haya ni kulingana na afisa anyesimamia wanyamapori kaunti ya Marsabit James Kimei. Vile vile Kimei amewataka waathiriwa kufuatilizia[Read More…]