Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
Na Samuel Kosgei Mtu mmoja ameripotiwa kuaga dunia kufikia sasa kutokana na ugonjwa wa Kalaazar ambao umetajwa kuwa kero katika maeneo ya Loglogo na Laisamis. Msemaji wa serikali ya kaunti ya Marsabit Abdub Barile akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa amesema kuwa mwanamke mmoja kutoka eneobunge la Laisamis alifariki[Read More…]
NA ISAAC WAIHENYA Wakaazi wa eneo la Kambinye wameishukuru irada ya maeneo kame inayoongozwa na katibu wa maeneo kame na maendeleo ya miji Kello Harsama kwa kila wamekitaja kwamba ni kuwajali katika kipindi hichi cha ukame. Wakizungumza na Shajara ya Radio Jangwani, wakaazi hao wametaja kwamba wamepokea chakula hiocho ambacho[Read More…]
Na Samuel Kosgei Baadhi ya wakazi wa wadi ya Marsabit Central mjini Marsabit wametaja kusikistishwa na hatua ya idara ya fedha kaunti ya Marsabit kuahirisha vikao vya kitoa maoni yaliyopangwa kufanyika Alhamisi katika ofisi ya chifu wa Lokesheni Ya Mountain. Wakaazi hao wakiongozwa na Dokata Kuro ambaye ni kiongozi wa[Read More…]
Na Henry Khoyan Mwanafunzi mmoja wa Shule ya Msingi ya Karare ameaga dunia ghafla leo Alhamisi alipokuwa akielekea shuleni na wenzake. Chifu wa eneo hilo, Magdalene Ilimo, amedhibitisha kuwa mtoto huyo mwenye umri wa miaka 14 alizirai ghafla walipokuwa barabarani kuelekea shuleni na wenzake. Wenzake walikimbia nyumbani kutoa ripoti ya[Read More…]
Wakaazi wa Karare Kaunti ya Marsabit wamelalamikia uhaba wa maji katika maeneo hayo. Kulingana nao ni hali ambayo imesalia kuwa donda sugu kutokana na kuharibiwa kwa mifereji ya maji na ndovu. Sasa wakaazi wanaomba shirika la huduma za wanyamapori kuingilia kati na kuwazuia ndovu kufanya uharibifu. Chifu wa eneo hilo[Read More…]
NA JB NATELENG Ni afueni kwa wafanyibiashara wa Moyale baada ya serekali ya kaunti ya Marsabit kuzindua rasmi manispaa ya Moyale. Akizungumza wakati wa uzinduzi huu, waziri wa ardhi kaunti ya Marsabit Amina challa amesema kuwa wafanyibiashara wa Moyale watakuwa na uhuru wa kufanya biashara bila shida yoyote huku akiwataka[Read More…]
NA JB NATELENG Wito umetolewa kwa idara ya ardhi jimboni Marsabit kuweza kuwapa wakazi wa eneo la Moyale hatimiliki “title deeds” ya ardhi ili kurasmisha umiliki wa ardhi na kurahisisha kazi ya manispaa. Wakizungumza kwenye hafla ya kuzindua manispaa ya Moyale, wakilishi wadi wa Marsabit wakiongozwa na mwakilishi wadi mteule[Read More…]
Msimamizi mkuu kwenye mbuga ya wanyama katika kaunti ya Marsabit Augustine Ajuoga amesema kuwa shughuli ya kuwahesabu wanyama pori inaendelea na harakati hiyo imekua ikifanyika tangu mwaka jana Vile vile amesema kuwa shughuli hiyo itarejelewa mwezi ujao katika kaunti ya marsabit, Mandera na Wajir kwa minajili ya kujua hali ya[Read More…]
NA CAROLINE WAFORO Wanachama wa chama cha akiba na mikopo cha Rangelands Sacco chini ya shirika lisilo la kiserikali la NRT wamepata faida ukipenda dividends ya shilingi milioni 6 baada ya kuwekeza katika chama hicho. Mwanachama aliyepata dividends za juu zaidi akipata zaidi ya shilingi 200,000. Haya yalibainika Jumanne wakati wa mkutano[Read More…]
Msimamizi mkuu kwenye mbuga ya wanyama katika kaunti ya marsabit Augustine Ajuoga amesema kuwa shughuli ya kuwahesabu wanyama pori unaendelea na shughuli hiyo imekua ikifanyika tangu mwaka jana Vile vile amesema kuwa shughuli hiyo itaaanza mwezi ujao katika kaunti ya marsabit,Mandera na wajir kwa minajili ya kujua hali ya wanyama[Read More…]