Wachuuzi wa miraa Marsabit Central waandamana kulalamikia kutelekezwa na serikali kuu
Na JB Nateleng
Wachuuzi wa miraa Marsabit Central, eneo bunge la Saku, kaunti ya Marsabit, wameandamana wakilalamikia kile walichodai kuwa kutengwa na serikali ya kaunti ya Marsabit katika programu za kuwawezesha vikundi vya kijamii.
Wakizungumza na wanahabari wachuuzi hao wameitaka serikali ya kaunti ya Marsabit chini ya uongozi wa Gavana Mohamud Ali kuzingatia malalamishi yao na kuhakikisha wanajumuishwa katika mipango yote ya maendeleo.



Post Comment