Local Bulletins

Shughuli ya kuwahesabu  wanyamapori kuanza mwezi ujao katika kaunti ya marsabit, Mandera na wajir

Msimamizi mkuu kwenye mbuga ya wanyama katika kaunti ya Marsabit Augustine Ajuoga amesema kuwa  shughuli ya kuwahesabu wanyama pori inaendelea  na harakati hiyo imekua ikifanyika tangu mwaka jana

Vile vile amesema kuwa shughuli hiyo itarejelewa mwezi ujao katika kaunti ya marsabit, Mandera na Wajir kwa minajili ya kujua hali ya wanyamapori hao na jinsi watakavyotunzwa.

Subscribe to eNewsletter