WAUGUZI KATIKA KAUNTI YA MARSABIT WAMEAPA KUENDELEA NA MGOMO WAO HADI PALE SERIKALI YA KAUNTI YA MARSABIT ITAKAPOSHUGHULIKIA MATAKWA YAO YOTE.
September 19, 2024
Na Ebinet Apiyo
Huku idara ya wanyama pori KWS ikijiandaa kusherehakea siku ya World Rangers Day hapo kesho baadhi ya mafisaa katika idara hiyo wamewatembea maakazi ya watoto wa walemavu ya Fatima Childrens Home yaliyopo katika eneo la Dirib Gombo katika eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit.