Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
By Waihenya Isaac,
Wakaazi wa eneo la Shabaa kaunti ndogo ya Samburu ya kati wamepata afueni baada ya bomu lililopatikana katika eneo la sowit siku ya ijumaa kuteguliwa.
Bomu hilo lilipatikana likiwa limefukiwa kwenye mchanga na watoto waliokuwa wakichunga mbuzi karibu na nyumba yao.
Maafisa wa polisi wakiongozwa na naibu kamanda wa kaunti ya Samburu Abdikadir Malicha walitegua bomu hilo baada ya kulilinda siku nzima.
Polisi wamewataka wenyeji kutoa taarifa mara kwa mara wanapota vyuma ambavyo havieleweki.