Editorial

SEREKALI YATAKIWA KURUSU WAVULANA PIA KUPEWA CHANJO YA HPV

Na JB Nateleng & Naima Abdulahi, Wakazi wa Marsabit wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya HPV kwani ndio chanzo kikuu cha ugonjwa wa saratani ya njia ya uzazi. Haya ni kwa mujibu wa Mohamed Salat Gonjobe ambaye ni mtaalam wa masuala ya ugonjwa wa saratani katika hospitali ya rufa[Read More…]

Read More

MWANAME MMOJA KATIKA KAUNTI YA MARSABIT AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA KWA KOSA LA KUHARIBU MALI YA DHAMANA YA SHILINGI 15,000.

Na Talaso Huka. Mahakama ya Marsabit imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja au bodi ya shilingi 100,000 mwanaume mwenye umri wa makamu kwa kosa la kuharibu mali ya dhamana ya shilingi 15,000. Akitoa uamuzi huo hakimu Christine Wekesa amempata mstakiwa Hassan Duba na makosa ya kuharibu mali ya Dida Kara tarehe[Read More…]

Read More

JAMII YA MARSABIT YATAKIWA KUWALINDA WANYAMAPORI PAMOJA NA MAZINGIRA ILI KUZUIA MIZOZO KATI YA WANADAMU NA WANYAMAPORI

NA ISAAC WAIHENYA Jamii ya Marsabit imetakiwa kuwalinda wanyamapori pamoja na mazingira ili kuzuia mizozo kati ya wanadamu na wanayamapori. Kwa mujibu wa mratibu wa maswala ya mazingira Justus Nyamu ni kuwa japo kaunti ya Marsabit haijaripoti visa vya uwindaji haramu ila bado ipo hoja ya kuhifadhi wanyama pori hao.[Read More…]

Read More

IDARA YA USALAMA MJINI MARSABIT YAPIGA MARUFUKU HUDUMA ZA BODABODA MASAA YA USIKU.

Na Caroline Waforo, Idara ya usalama mjini Marsabit imepiga marufuku huduma za bodaboda masaa ya usiku. Kulingana na OCS wa Marsabit Central Edward Mabonga marufuku hiyo inatekelezwa kuanzi saa tano usiku hadi saa kumi asubuhi. Hii ni katika jitihada za kuimarsha usalama wa kutosha mjini Marsabit kufuatia kuongezeka kwa visa[Read More…]

Read More

WAADISHI WA HABARI WATAKIWA KUFUNGUKA KUHUSIANA NA MASWALA YANAYOWADHIRI ILI KUZUIA KUKUMBWA NA MSONGO WA MAWAZO.

Na Isaac Waihenya, Waadishi wa habari hapa jimboni Marsabit wametakiwa kufunguka kuhusiana na maswala yanayowadhiri ili kujizuia dhidi ya msongo wa mawazo. Kwa mujibu wa mwanahabari Abraham Dale ambaye kwa sasa anafanaya kazi na shirika lisilo la kiserekali la MWADO ni kuwa muda mwingi wanahabari hukosa kuzungumza kuhusiana na yale[Read More…]

Read More

IDARA YA ELIMU KATIKA KAUNTI YA MARSABIT YAWEKA MIKAKATI KABAMBE KUZUIA VISA VYA UCHOMAJI WA SHULE KUTOKEA HAPA JIMBONI.

Na Isaac Waihenya, Idara ya elimu katika kaunti ya Marsabit imeweka mikakati kabambe ili kuzuia visa vya uchomaji wa shule kutokea hapa jimboni. Kwa mujibu wa mkurugenzi wa elimu katika kaunti ya Marsabit Peter Magiri ni kuwa idara ya elimu imehakikisha kwamba iko makini ili kuzuia kutokea kwa visa vya[Read More…]

Read More

MWANAMME MMOJA ALIYERIPOTIWA KUPOTEA MIEZI MITATU ILIYOPITA AMEPATIKANA AKIWA AMEIGA DUNIA KATIKA CRATER YA GOFF ARERO ENEO BUNGE LA SAKU,KAUNTI YA MARSABIT

Na JB Nateleng & Naima Abdullahi, Mwanamme mmoja aliyeripotiwa kupotea miezi mitatu iliyopita amepatikana akiwa ameiga dunia katika crater ya Goff Arero eneo bunge la Saku,kaunti ya Marsabit. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipekee chifu wa eneo Qiltu Korma Alex Ali Goresa, amesema kuwa mwanamme huyo na ambaye[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter