Editorial

MWANAUMME MMOJA AFUNGWA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO GEREZANI BAADA YA KUPATIKANA NA KOSA LA KUMJANISI MTOTO WA MIAKA 7 KATIKA ENEO LA KIWANJA NDEGE,MARSABIT.

Na Talaso Huka, Mwanaumme mmoja mwenye umri wa makamu   amefungwa kifungo cha miaka mitano gerezani baada ya kupatikana na kosa la kumjanisi mtoto wa miaka saba. Mshukiwa Roba Godana Tura anadaiwa kwamba mnamo tarehe 2 mwezi wa mechi mwaka huu wa 2024 katika eneo la kiwanja ndege hapa mjini[Read More…]

Read More

JAMII YA MARSABIT IMETAKIWA KUTOWAFICHA WATOTO WANAOUGUA UGONJWA WA KUPOOZA KWA UBONGO MAARUFU CEREBRAL PALSY NA BADALA YAKE KUWAPELEKA HOSPITALI WAPATA MSAADA.

Na Isaac Waihenya, Jamii imetakiwa kutowaficha watoto wanaougua ugonjwa wa kupooza kwa ubongo maarufu Cerebral Palsy. Kwa mujibu wa afisa wa afya ya jamii katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Zainabu Huqa ni kuwa jamii ya Marsabit bado inawaficha watoto wanaougua maradhi hayo huku akiwataka kuwapeleka katika vituo vya kiafya ili[Read More…]

Read More

KUHUBIRI HAKUHITAJI DEGREE ILA NI WITO KWA KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU. – ASEMA MAIMAMU WA MSIKITI WA JAMIA HAPA MJINI MARSABIT SHEIKH MOHAMED NOOR.

Na Isaac Waihenya, Kuhubiri hakuhitaji Degree. Ndio kauli ya Maimamu wa msikiti wa Jamia hapa mjini Marsabit Sheikh Mohamed Noor. Akizungumza na Radio Jangwani kwa njia ya kipee Sheikh Noor ameitaka serekali kutupilia mbali hitaji la viongozi wote wa kidini kuwa na cheti cha degree ili kuruhusiwa kuhubiri. Sheikh Noor[Read More…]

Read More

CLIMATE OUTLOOK FOR MARSABIT COUNTY: OCTOBER-NOVEMBER-DECEMBER 2024

BY ELIAS JALLE As we approach the October-November-December (OND) 2024 “Short Rains” season, the Kenya Meteorological Department has released a detailed climate outlook for Marsabit County. This season is crucial for the region, particularly for agriculture and water resources, and understanding the forecast is essential for local communities and stakeholders.[Read More…]

Read More

HAKUKUWA NA UBAGUZI WOWOTE KATIKA ZOEZI LA HIVI MAAJUZI LA KUWAAJIRI WAHUDUMU WA AFYA – KATIBU WA SERIKALI YA KAUNTI YA MARSABIT HUSSEIN TARI SASURA

Na Caroline Waforo, Serikali ya kaunti ya Marsabit imekanusha madai ya ubaguzi katika utoaji wa ajira hivi maajuzi haswa kwa wahudumu wa afya. Hii ni baada ya wauguzi wanagenzi kulalamika kuwa hakukuwa na uwazi katika utoaji wa ajira huku pia wakilalamika kutengwa. Madai haya yamekanushwa na katibu wa serikali ya[Read More…]

Read More

SEREKALI YA KAUNTI YA MARSABIT YAWATAKA WAHUDUMU WA AFYA WALIO KWENYE MGOMO KUSITISHA MGOMO WAO NA KUREJEA KAZINI HUKU MIKAKATI YA KUTAFUTA SULUHU IKIENDELA

Na Caroline Waforo, Wahudumu wa afya walio kwenye mgomo jimboni Marsabit wameombwa kusitisha mgomo wao na kurejea kazini huku mikakati ya kutafuta suluhu ikiendela. Hii ni baada ya manesi jimboni kuanza mgomo wao rasmi hapo jana Jumatatu huku nao wahudumu wengine wa afya wanaojumuisha madaktari chini ya muungano wao wa[Read More…]

Read More

WANANCHI JIMBONI MARSABIT WATAKIWA KUHAKIKISHA KWAMBA MAZINGIRA YANASALIA KUWA SAFI KWA KUZUIA KUTUPA CHUPA ZA PLASTIKI.

Na Isaac Waihenya, Wananchi jimboni Marsabit wametakiwa kuhakikisha kwamba mazingira yanasalia kuwa safi kwa kuzuia kutupa chupa za plastiki. Akizungumza na wananchi hapa mjini Marsabit mratibu wa maswala ya mazingira nchini Justus Nyamu ambaye yupo kwenye ziara ya mwezi mmoja hapa jimboni Marsabit ametaja kwamba chupa za plastiki zinachangia kwa[Read More…]

Read More

HUKU ULIMWENGU UKIADHIMISHA SIKU YA USALAMA WA WAGONJWA HII LEO, WITO UMETOLEWA KWA SEREKALI YA KAUNTI YA MARSABIT KUINGILIANA KATI NA KUTATUA MGOMO WA WAHUDUMU WA AFYA UNAOENDELEA.

Na Talaso Huka, Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya usalama wa wagonjwa hii leo, wito umetolewa kwa serekali ya kaunti ya Marsabit kuingiliana kati na kutatua mgomo wa wahudumu wa afya unaoendelea kwa sasa ili kuhakikisaha kuwa wananchi wa Marsabit na haswa wanaougua wako salama. Kilingana na mwanaharati wa kutetea haki[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter