Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
Na JB Nateleng Serekali imetakiwa kulinda katiba pamoja na haki za wananchi wa Kenya ili kutatua mzozo ambao utasababisha maafa nchini. Haya ni kwa mujibu wa Mkurugenzi wa shirika la MWADO, Nuria Gollo. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya kipekee Nuria amesema kuwa ipo haja ya serekali[Read More…]
Na Samuel Kosgei SERIKALI ya kaunti ya Marsabit inalenga kuendeleza zoezi la kupunguza idadi ya wafanyakazi katika idara mbali mbali za kaunti. Katibu wa kaunti na pia mkuu wa wafanyakazi wa kaunti Hussein Sasura ameambia shajara kuwa lengo kuu la zoezi hilo ni kupunguza gharama ya kulipia mishahara ya wafanyakazi[Read More…]
Na Waandishi Wetu, Mwanaume mmoja ameshtakiwa katika mahakama kuu ya Marsabit kwa mauaji. Mahakama imearifiwa kuwa mnamo tarehe kumi na tatu mwezi Oktoba mwaka wa 2023 katika eneo la Diibu Dadacha kaunti ndogo ya Sololo, kaunti ya Marsabit mshukiwa Doti Waqo Sora alimuua mamake Safao Waqo kwa kumkatakata. Mshukiwa aliwasilishwa[Read More…]
Maadalizi ya hafla ya mazishi ya mwanammke mmoja aliyeuwawa jana jioni kwa kudungwa kisu mara kadhaa na mumewe yanaendelea katika kijiji cha Manyatta Chorora eneo la Badassa kaunti ya Marsabit. Kwa mujibu wa naibu chifu wa eneo la hilo Hussein Abdub ni kuwa mama huyo aliuwawa na mumewe baada ya[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Zaidi ya wanafunzi 500 katika shule saba za upili katika eneo bunge la Laisamis wamenufaika na mradi wa kuwalipia karo kupita chakula, maarufu Food for Fees kutoka kwa shirika lisilo la kiserekali la Kenya Drylands Education Fund (KDEF). Akizungumza wakati wa zoezi la uzinduzi wa mradi huo[Read More…]
Na Samuel Kosgei Rais William Ruto leo amekuwa mwenyeji wa viongozi wa Umoja wa Afrika katika mkutano jijini Nairobi ili kuratibu mikakati ya maendeleo iliyoainishwa chini ya Mageuzi ya Kimuundo ya Umoja wa Afrika. Ruto amesisitiza hitaji kubwa la mabadiliko barani, akibainisha kuwa Afrika inakabiliana na changamoto za kiuchumi, maendeleo[Read More…]
Na Samuel Kosgei ALIYEKUWA naibu wa rais Rigathi Gachagua ameendeleza mashambulizi ya maneno makali dhidi ya rais William Ruto akimtaja kama mtu mrongo na asiyefaa kuongoza taifa hili muhula mwingine. Gachagua akizungumza kwa kejeli kwenye hafla ya kufunguliwa kwa ofisi kuu ya chama cha DAP-K kinachoongozwa na Eugene Wamalwa amesema[Read More…]
Na Carol Waforo Tahadhari ya moto wa nyika imetolewa kaunti ya Marsabit haswa msimu huu wa kiangazi ambao tayari ulianza kushuhudiwa tangu mwishoni mwa mwaka jana 2024. Ni tahadhari ambayo imetolewa na mhifadhi wa msitu wa Marsabit Mark Lenguro ambaye amezungumza na shajara ya radio jangwani afisini mwake. Lenguro amewaonywa[Read More…]
Na Joseph Muchai Siku moja baada ya kiongozi wa chama cha NARC Kenya Martha karua kukosoa serikali kwa kulipiza ada ya shilingi elfu moja mtu anaposajiliwa kuchukua kitambulisho cha kitaifa kwa mara ya kwanza wakaazi wametoa maoni yao kuhusiana na swala hilo. Baadhi yao wanahoji kuwa serikali ina nia ya[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Serekali imejiandaa kikamilifu kuhakikisha kwamba mtaala mpya wa elimu haswa gredi ya 7,8 na 9 zinafaulu. Haya yamewekwa wazi na mkurugenzi wa elimu katika kaunti ya Marsabit Peter Magiri. Akizungumza wakati wa halfla ya shirika la Child Fund kuzawadi wanafunzi wa shule ya msingi ya Bubisa taa[Read More…]