Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
Na Isaac Waihenya, Naibu Gavana wa Narok, Tamalinye Koech amewahimiza wafugaji kutoka kaunti hiyo kukukubali chanjo kutolewa kwa mifugo wao akisema kwamba itakuwa ya manufaa zaidi kwani mifugo hao watalindwa dhidi ya magonjwa mbalimbali. Akizungumza na waadhishi wa habari naibu Gavana huyo amesisitiza haja ya wananachi kutopotoshwa na watu wanaolenga[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Wakaazi hapa nchini wametakiwa kujitokeza kwa uchunguzi wa ugoinjwa wa saratani mapema. Wito huu umetolewa na afisa mkurugenzi mkuu wa hospitali ya Rufaa ya Moi mjini Eldoret daktari Philip Kirwa. Akizungumza hii leo wakati wa maadhimisho ya siku ya saratani dunia Kirwa amehimiza haja ya watu kujitokeza[Read More…]
NA ABDILAZIZ ABDI Wakaazi wa kata ya Golole wadi ya Uran kataika emneo bunge la Moyale wanalalamikia kile wanachokidai kuwa ni ukosefu wa mtandao Baadhi ya waliozungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya kipekee, wamesema kuwa ukosefu wa mtandao umeduwaza mawasiliano baina yao na watu wengine. Aidha wamesema swala[Read More…]
Na Joseph Muchai, Bweni la shule ya upili ya Marsabit Boys limechomeka usiku wa kuamkia leo. Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari ni kuwa moto huo ulichipuka kwenye bweni moja japo kufikia sasa habari kuhusiana na majeruhi haijatolewa. Juhudi zetu za kupata taarifa kutoka kwa mwalimu mkuu ziligonga mwamba[Read More…]
Na Abdiaziz Yusuf, Hatimaye kero la uhaba wa maji katika kata ya Golole wadi ya Uran eneo Bunge la Moyale limepata suluhu. Hii ni baada katibu wa kudumu katika idara ya maeneo kame na ustawi wa miji Kello Harsama kwa ushirikiano wa kerikali kuu kupitia mamlaka ya kushughilikia majanga nchini[Read More…]
Na JB Nateleng, Wito umetolewa kwa idara ya maji kaunti ya Marsabit kuweza kukarabati kisima cha Boqe kilichopo lokesheni ya Kalacha eneo bunge la North horr. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya simu, chifu wa eneo la Kalacha Sabdio Wario amesema kuwa kisima hicho kiliharibika mnamo mwaka wa 2021[Read More…]
Na Waandishi Wetu, Serikali kupitia idara ya polisi nchini imezindua operesheni kali ya Ondoa Jangili katika kaunti za Marsabit na Isiolo. Operesheni hii inalenga kuwaondoa wahalifu kutoka kundi la Oromo liberation Army {OLA} linaloaminika kuendeleza shughuli za uhalifu katika kaunti hizi mbili ikiwemo biashara ya bunduki harama na ulanguzi wa dawa za kulevya[Read More…]
Na Joseph Muchai, Muda mfupi baada ya muungano wa hospitali za kibinafsi nchini RUPHA kutoa lalama zao kuhusiana na kucheleweshwa kwa malipo ya matibabu kutoka kwa tume ya huduma ya walimu nchi TSC sasa walimu kwenye kaunti ya Marsabit wametoa kauli yao. Akiongea na idhaa hii katibu mkuu wa chama chama[Read More…]
NA ISAAC WAIHENYA Wito umetolewa kwa wakaazi wa Marsabit kuasi kukata miti na kuchoma makaa ili kuzuia uharibifu zaidi wa mazingira. Kwa mujibu wa mshirikikishi wa maswala ya kawi katika kaunti ya Marsabit Joseph Agola ni kuwa jamii inafaa kuwa makini na matumizi ya makaa na kuni ili kuzuia uharibifu[Read More…]
Na Caroline Waforo Kesi ya mauaji ya watoto mapacha katika eneo la Dololo, kaunti ndogo ya Dukana kaunti ya Marsabit haitasuluhushwa nje ya mahakama kupitia mfumo mbadala wa sheria maarufu Alternative Justice System. Haya yamewekwa wazi na hakimu mwandamizi wa mahakama ya Marsabit Simon Arome. Arome amezunguma wakati wa kikao[Read More…]