Wafanyabiashara na bodaboda walalamikia uhaba wa mafuta Marsabit,
Na Nyabande Orwa
Siku chache baada ya serikali kuhakikishia wananchi kuwa kuna mafuta ya kutosha nchini, kaunti ya Marsabit imeanza kukumbwa na uhaba wa mafuta katika vituo mbalimbali vya kuuza mafuta mjini.
Kwa mujibu wa utafiti wa kituo hiki, wafanyabiashara wengi wamekosa mafuta ya petroli, huku dizeli ikiwa bado inapatikana kwa kiasi kidogo.
Kutokana na hali hii, baadhi ya vituo vya mafuta vimeanza kupunguza kiwango cha mafuta kinachouzwa kwa kila mteja ili kuepusha kuisha kabisa.
Wafanyabiashara wa mafuta wanasema uhaba huo unasababishwa na hali ilivyo katika eneo la Moyale, ambapo magari ya uchukuzi hulazimika kuja kujaza mafuta Marsabit. Hali hii imeongeza msongamano mkubwa katika vituo vya mafuta mjini.
Wamiliki wa magari sasa wanahofia kuwa hali inaweza kuwa mbaya zaidi iwapo hata depo zitakosa mafuta. Wameitaka serikali kuweka mikakati ya kudhibiti bei ya mafuta ili kuwasaidia wananchi wa kipato cha chini, hasa wanaotegemea biashara kama bodaboda kujikimu.
Kwa upande mwingine, waendesha bodaboda wamelalamikia kupunguzwa kwa kiwango cha mafuta wanachoruhusiwa kununua katika vituo hivyo. Baadhi yao wanasema hulazimika kusukuma pikipiki zao hadi vituoni wanapokosa mafuta barabarani.
Wametoa wito kwa serikali kuingilia kati haraka ili kutatua tatizo hilo.
Haya yanajiri wakati sakata ya uagizaji wa mafuta nchini ikiendelea kushika kasi.
ephesus tours
You have brought us together across distances. Congratulations on 10 years of impact.
ephesus tours
From the shores of Lake Turkana, we thank you for your dedication and for keeping us connected.
ephesus tours
Radio Jangwani has been our companion in both good and challenging times. Happy anniversary!
ephesus tours
Your programs have educated our families and strengthened our culture. We celebrate you today and always.
ephesus tours
Your programs have educated our families and strengthened our culture. We celebrate you today and always.
ephesus tours
A decade of excellence, community service, and truth. Congratulations on this incredible milestone.
ephesus tours
You have empowered the youth with knowledge and opportunity. Keep shining and guiding us forward.
ephesus tours
Radio Jangwani has been a bridge of unity among our people. Happy 10th anniversary!
ephesus tours
You have supported local businesses through visibility and connection. We celebrate you!
ephesus tours
Thank you for empowering women voices and promoting inclusivity in our society.
ephesus tours
You have inspired young minds and created opportunities for growth. Happy anniversary!
ephesus tours
Ten years of community transformation—your legacy continues to grow.
ephesus tours
You have given us a sense of belonging through your broadcasts. Keep up the great work!
ephesus tours
Radio Jangwani has nurtured dialogue and peace. Congratulations on 10 years of excellence.
ephesus tours
Your voice has been a guiding light. We celebrate your journey and achievements.
ephesus tours
A decade of informing and empowering citizens—thank you for your unwavering service.
ephesus tours
You have connected communities and strengthened bonds. Happy anniversary, Radio Jangwani!
ephesus tours
Ten years of dedication to the people—your impact is truly felt across Marsabit.
ephesus tours
Your broadcasts have educated and uplifted our community. Keep inspiring generations to come.
ephesus tours
Radio Jangwani has been a source of unity and peace. Congratulations on 10 years of service.
ephesus tours
You have given a platform to our stories and voices. We are proud to celebrate you.
ephesus tours
Even in the far north, your voice is loud and clear. Thank you for reaching us all.
ephesus tours
Your commitment to truth and community development is unmatched. Cheers to another decade of excellence.
ephesus tours
You have brought us together across distances. Congratulations on 10 years of impact.
ephesus tours
Radio Jangwani has been a bridge of unity among our people. Happy 10th anniversary!



25 comments