Idara ya vijana na michezo kaunti ya Marsabit yaaanda mafunzo ya siku mbili kwa vijana kuhusiana na jinsi ya kupata bima ili kutunza biashara zao, afya au hata bodaboda zao.
March 17, 2025
Na Samuel Kosgei,
Wito umetolewa kwa wakaazi kaunti ya Isiolo na wakenya kwa ujumla kuwasamehe na kuwapea wabunge nafasi ya kuwahudumia licha ya wao kupitisha mswada uliokuwa umepingwa na wakenya.
Wito huo umetolewa na Ahmed Sett ambaye ni mwenyekiti wa muungano wa viongozi wa kidini kaunti ya Isiolo
Akihutubia wanahabari Sett amesema wabunge tayari wameonyesha nia ya kubadili miendeo yao ikiwemo kukataa nyongeza ya mshahara
Wakati uo huo amewapongeza vijana wa kizazi cha Gen Z kwa kuonyesha ukakamavu wa kupigania haki yao pamoja na uongozi bora humu nchini
Kando na hayo Ahmed Sett ambaye pia ni mweka hazina wa baraza kuu la wazee nchini amewataka wanasiasa kaunti ya Isiolo na Kenya kwa jumula kutotoa matamshi ambayo yanaweza kuligawanya taifa