Author: Editor

Wazee waonywa dhidi ya kusuluhisha kesi za dhulma za kijinsia vijini…

NA ISAAC WAIHENYA, Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wameonya dhidi ya kutumia njia mbadala za kusuluhisha kesi nje ya mahakama kusuluhisha kesi za dhulma za kijinsia. Onyo hii limetolewa na waziri wa jinsia katika kauti ya Marsabit Jeremiah Ledanyi. Akizungumza wakati wa zoezi lililoyaleta pamoja mashirika ya kijamii,maafisa wa serekali[Read More…]

Read More

Chanjo ya mifugo inalenga kupanua soko la mifugo nchi na kimataifa.

Na caroline waforo Huku serikali ikitarajiwa kuzindua mpango wa chanjo kwa mifugo nchini wafugaji jimboni Marsabit wameendelea kufafanuliwa kwamba chanjo hiyo sio ya lazima japo wameelezwa kuwa ina manufaa mengi. Akizungumza na shajara ya radio jangwani kaimu mkurugenzi wa madaktari wa mifugo jimboni Marsabit Boku Bodha amesema kuwa chanjo hiyo[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter