Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
NA ISAAC WAIHENYA, Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wameonya dhidi ya kutumia njia mbadala za kusuluhisha kesi nje ya mahakama kusuluhisha kesi za dhulma za kijinsia. Onyo hii limetolewa na waziri wa jinsia katika kauti ya Marsabit Jeremiah Ledanyi. Akizungumza wakati wa zoezi lililoyaleta pamoja mashirika ya kijamii,maafisa wa serekali[Read More…]
Na caroline waforo Huku serikali ikitarajiwa kuzindua mpango wa chanjo kwa mifugo nchini wafugaji jimboni Marsabit wameendelea kufafanuliwa kwamba chanjo hiyo sio ya lazima japo wameelezwa kuwa ina manufaa mengi. Akizungumza na shajara ya radio jangwani kaimu mkurugenzi wa madaktari wa mifugo jimboni Marsabit Boku Bodha amesema kuwa chanjo hiyo[Read More…]
Na Caroline Waforo Idara ya mifugo jimboni Marsabit inapanga kutoa msaada wa mifugo kwa wafugaji walioathirika zaidi na kiangazi kilichoshuhudiwa jimboni katika kipindi cha mwaka 2021 hadi mwaka 2023. Mifugo itakayotolewa ni ngamia 400 wa kike wa kati ya miaka 3-4 watakaonufaisha wafugaji kutoka maeneo bunge yote manne. Haya ni[Read More…]
Na Samuel Kosgei BAADHI ya wakaazi wa kaunti ya Meru wameendeleza shutuma kali dhidi ya aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua wakimshutumu kwa kumradharau na kumkosea heshima naibu rais wa sasa Kithure Kindiki na rais William Ruto. Wakizungumza katika gatuzi la Meru wakaazi hao wamesema kuwa Gachagua hakutumia miaka yake miwili[Read More…]
NA ISAAC WAIHENYA Wito umetolewa kwa washikadau mbalimbali wanaoshughulikia haki za watoto katika kaunti ya Marsabit kuasi ufisadi wakati wa kushughulikia kesi za dhulma za kijinsia. Kwa mujibu wa afisa wa miradi katika mradi wa Amkeni Wakenya,kutoka shirika la Caritas Marsabit, George Galgallo ni kuwa baadhi ya waadhiriwa wa dhulma za[Read More…]
Na Samuel Kosgei Kaunti ya Marsabit ina uwezo mkubwa wa kuvutia watalii wengi iwapo juhudi na mikakati mwafaka itawekwa. Hayo ni kulingana na katibu mkuu katika idara ya utalii kaunti ya Marsabit Guyo Ali. Hata hivyo Afisa Ali akizungumza na shajara ya Radio Jangwani amesema kuwa kuna ongezeko kiasi ya[Read More…]
Na Caroline Waforo Visa vya utapiamlo vimeongezeka hadi asilimia 17 kutoka asilimia 13.5 katika kaunti hii ya Marsabit. Ongezeko hili likiwa ni kutoka mwezi Julai mwaka jana hadi sasa. Hii ni kulingana na afisa mkuu wa lishe bora jimboni David Buke ambaye amezungumza na shajara ya radio Jangwani wakati wa[Read More…]
Na JB Nateleng, Serekali ya kaunti ya Marsabit kupitia idara ya afya imesambaza madawa katika hospitali na zahanati zote jimboni. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipekee, Waziri wa Afya kaunti ya Marsabit Malicha Boru ameeleza kuwa idara hiyo imesambaza kiwango cha dawa ambayo kinagharimu shilingi millioni 50 katika[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Mwanammke mmoja aliyeuwawa jumatatu jioni kwa kudungwa kisu mara kadhaa na mumewe amezikwa hii leo katika kijiji cha Manyatta Chorora eneo la Badassa kaunti ya Marsabit. Hafla hii ilichelewesha hadi leo ili kuruhusu upasuaji kufanyika. Kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu wa hospitali ya rufaa ya Marsabit Kussu[Read More…]
Na Joseph Muchai, Huku ongezeko katika maambukizi ya ugonjwa wa malaria likizidi kushuhudiwa katika kaunti ya Marsabit serikali ya kaunti kipitia wizara ya afya imesema kwamba iko tayari kukabiliana na magonjwa yanayoambukizwa na pia yanayotokana na mabadiliko ya hali ya hewa. Akiongea na kituo hiki waziri wa afya kaunti Marsabit[Read More…]