Mashirika yasiyo ya kiserikali yatakiwa kujitokeza kusaidia kuondoa Kalaazar Marsabit.
February 25, 2025
Na Isaac Waihenya & Abdiaziz Abdi & Kame Wario, Wakaazi wa Marsabit wametoa hisia zao kuhusiana na uamuzi wa mahakama uliopiga marufuku hazina ya maeneo bunge nchini NG-CDF. Baadhi ya waliozungumza na Shajara ya Radio Jangwani wametaja kugadhabishwa na hatua hiyo ya mahakama ambayo wameitaja kama inayohujumu haki zao. Wametaja[Read More…]
Na Isaac Waihenya & Abdiaziz Abdi & Kame Wario, Wazazi wametakiwa kuwalinda wanao haswa wakati wa likizo ndefu ya mwezi disemba ili kuwaepusha na dhulma zozote dhidi yao. Kwa mujibu wa afisa anayesimamia maswala ya jamii katika shirika lisilokuwa la kiserekali la SIF hapa jimboni Marsabit Halima Hirbo ni kuwa[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Wito umetolewa kwa wakazi wa Marsabit kuasi vitendo ambavyo vinapotosha maadili na kupelekea ongezeko la idadi ya vijana wanaotumia mihadarati. Kwa mujibu wa mwanaharakati anayepambana na matumizi ya mihadarati na dawa za kulevya hapa jimboni Fredrick Ochieng, ni kuwa vijana wa kizazi hiki wanajifunza mambo mengi kupitia[Read More…]
Na JB Nateleng, Kama njia mojawepo ya kuzuia ajali katika ziwa Turkana, idara ya uvuvi imewatahadharisha wakazi jimboni kuacha kutumia usafiri wa majini kwa sasa kutokana na kuwepo kwa mawimbi na kupanda kwa maji ya ziwa Turkana. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya simu, Sostine Nanjali ambaye ni afisa[Read More…]
Na Isaac Waihenya & Abiaziz Abdi & Kame Wario, Wakaazi wa Marsabit wametoa hisia zao kuhusiani na kuwepo kwa njama za kumbandua mamlakani naibu wa rais Rigathi Gachagua. Baadhi ya waliozungumza na Shajara ya Radio Jangwani wametaja kwamba iwapo kuna njama ya kumgo’a mamlakani naibu wa rais Rigathi Gachagua, basi[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya Kimataifa ya Lugha ya Ishara maarufu International Sign Language Day, wito umetolewa kwa jamii ya Marsabit kutowaficha watu wanaoishi na ulemavu. Kwa mujibu wa ACC wa Marsabit Andrew Chepkonga ni kuwa jamii imekuwa ikiwaficha watu wanaoishi na ulemavu na kuwanyima haki zao[Read More…]
Na Isaac Waihenya & JB Nateleng, Wawakilishi wadi hao wakiongozwa na MCA wa eneo la Loiyangalani Daniel Emojo na mwakilishi wadi mteule Daniela Lenatiyama wametaja kwamba wananchi wa eneo hilo wamekuwa wakihangaika tangu maji yalipoongezeka huku taasisi mbalimbali ikiwemo elimu zikiadhirika. MaMCAs hao wametoa wito kwa serekali kuu kuweza kuingilia[Read More…]
Na JB Nateleng & Naima Abdullahi, Wito umetolewa kwa wakaazi wa kaunti ya Marsabit kukumbatia mfumo wa kilimo Kinachohimili Mabadiliko ya Tabianchi (climate smart) ili kuboresha ukuzaji wa mimea na kuongeza mavuno jimboni. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya simu, Mkurugenzi katika idara ya Kilimo Patrick Gitu amesema kuwa[Read More…]
Wazazi wa msichana moja mwenye umri wa miaka 16 wamehukumiwa kufungo cha miaka mitatu gerezani kwa makosa manne yanayofungamana na kumwoza msichana huyo katika kaunti ya Marsabit. Inaarifiwa kuwa kati ya tarehe 30 mwezi Agosti na tarehe 3 mwezi Septemba mwaka 2023 katika kijiji cha Lokileleng’i kaunti ya Marsabit watuhumiwa[Read More…]
Na JB Natelng, Suala la Teknolojia linafaa kuangaziwa kwa undani katika kaunti ya Marsabit ili kuboresha ujuzi wa vijana ambao mara nyingi hujikuta mtaani bila ajira. Haya yamekaririwa na mkurugenzi wa mkahawa wa Ebisa hapa mjini Marsabit, Abdikadir Doyo Wario. Akizungumza na wanahabari baada ya kutoa hamasa kwa vijana kuhusu[Read More…]