Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
Wazazi katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuhakikisha kwamba wanao wanaripoti shuleni kwa muhula wa kwanza wa mwaka wa 2025. Kwa mijibu wa afisa wa watoto katika kaunti ya Marsabit Mukanzi Leakey ni kuwa ni haki ya kila mtoto kupata elimu huku akionya kuwa idara hiyo haitawasaza wazazi watakaokosa kuwapeleka wanao shuleni[Read More…]
All You Need to Know About Atarax Atarax, also known by its generic name Hydroxyzine, is a medication commonly used for its antihistamine properties. Its primary role is to treat symptoms related to allergies, anxiety, and tension. This guide aims to provide comprehensive information about Atarax, including its uses, dosage,[Read More…]
Idara ya utabiri wa hali ya hewa hapa Marsabit imesema kuwa hali ya kiangazi itazidi kushuhudiwa mwezi huu Mkurugenzi wa utabiri wa hali ya hewa kaunti ya Marsabit Abdi Dokata amesema kuwa kiangazi itaendelea kwa sasa hadi wakati utabiri utakapobadilika. Ameshauri wananchi wa Marsabit kuepuka kutembea kwenye jua na kunywa maji mengi msimu huu[Read More…]
Mwenyekiti wa bodi ya shule ya msingi ya Bakaka iliyoko eneo la Hurii hills eneo bunge la North horr Ibrae Sharamo amelalamikia kile amekitaja kwamba ni ukosefu wa madarasa ya gredi ya tisa. Akizungumza na Radio Jangwani kwa njia ya kipekee Sharamo ametaja kwamba hadi kufikia sasa wanafunzi 17 wa[Read More…]
Baadhi ya Magavana, yule wa Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir na Julius Malombe wa Kitui wamepinga mfumo mpya wa ugavi wa fedha kwa serikali za kaunti unaopendekezwa na Tume ya Ugavi wa Mapato kwa kaunti, CRA. Mfumo huo mpya uliopendekezwa na CRA unapendekeza mgao wa shilingi bilioni 417 kwa Kila kaunti huku kaunti[Read More…]
Usalama umeimarika kwa kiwango kikubwa katika kaunti ndogo ya Loiyangalani hii ni baada ya vitengo vya usalama kuendesha operesheni ya kutoa hamasa kwa wakazi katika eneo hilo. Kwa mujibu wa OCPD wa eneo hilo Nicholas Mutua ni kuwa kupitia ushirikiano wa maafisa wa usalama pamoja na wakazi katika eneo hilo[Read More…]
Huku shule zikifunguliwa kwa muhula wa kwanza wa mwaka 2025 leo jumatatu, wazazi wameonywa dhidi ya kutowapeleka wanao shuleni. Ni onyo ambalo limetolewa na Chifu wa eneo la Laisamis Agostino Supeer akisema kuwa wazazi watakao kiuka haki za watoto kupata elimu watawajibishwa kisheria. Chifu Supeer aliyezungumza na meza ya habari ya[Read More…]
Serekali inapania kujenga shule katika sehemu mbazo hazina shule, kaunti ya Marsabit ili kuzuia wanafunzi kusafiri mbali kusaka elimu. Kwa mujibu wa mkurugenzi wa elimu katika kaunti ya Marsabit Peter Magiri ni kuwa idara ya elimu jimboni chini ya uongozi wake imependekeza kwa wizara ya elimu hoja ya kujengwa kwa[Read More…]
Wazazi walio na wanafunzi wanaojiunga na gredi ya tisa katika kaunti ya Marsabit wametakaiwa kutohifia chochote kwani mikakati ya kuhakikisha kwamba wanafunzi hao wanaendelea na elimu yao ipasavyo imewekwa. Akizungumza na Shajara Ya Radio Jangwani ofisi mwake mkurugenzi wa elimu katika kaunti ya Marsabit Peter Magiri amesema kuwa serekali imehakikisha[Read More…]
Elavil: Comprehensive Guide to Uses and Safety Elavil, also known by its generic name Amitriptyline, is a prescription medication primarily used to treat depression. It belongs to a class of drugs called tricyclic antidepressants. Elavil works by affecting the balance of neurotransmitters in the brain, thus helping to elevate mood[Read More…]