Author: Editor

Uhamisho wa walimu wakuu hufanywa na mkurugenzi wa TSC Nairobi au kwa kwenye ofisi za kanda – TSC Marsabit yawajibu wazazi wa Sarura Girls.

Na Isaac Waihenya, Mkurugenzi wa tume ya kuwaajiri walimu TSC tawi la Marsabit Ali Hussein Abdi amepuzilia mbali madai ya kuhusika katika kuhamisha aliyekuwa mwalimu mkuu wa shule ya upili ya Maikona Girls hadi katika shule ya upili ya Sasura Girls. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani ofisini mwake Hussein[Read More…]

Read More

Serikali ya kaunti ya Marsabit yakana madai ya unyakuzi wa ardhi na kutenga jamii ya Sakuye katika harakati ya kufunguliwa kwa mgodi wa Dabel.

Na Carol Waforo Serikali ya kaunti ya Marsabit imekana madai ya unyakuzi wa ardhi inayokaliwa na migodi ya hillo iliyoko katika lokesheni ya Dabel eneo bunge la Moyale kaunti ya Marsabit pamoja na madai ya kutenga jamii ya Sakuye katika mazungumzo ya kufunguliwa kwa migodi hiyo. Akizungumza na wanabari siku[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter