Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
Na JB Nateleng, Kuna haja ya kutoa hamasa kwa wakulima kuhusu mbinu sahihi ya kilimo katika kaunti ya Marsabit, baada ya asilimia kubwa ya wakulima kupata hasara msimu uliopita wa mvua. Haya ni kwa mujibu wa afisa wa kilimo katika kaunti ya Marsabit Dub Nura. Akizungumza kwenye hafla ya kutoa[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Wakaazi wanaonufaika na mpango wa serekali wa INUA JAMII katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwa na subira na kuipa serekali muda kusuluhisha baadhi ya changamo ambazo zimeukomba mfumo mpya wa kuwapa fedha zao. Kwa mujibu afisa anyeimamia huduma za jamii katika kaunti ndogo ya Saku, Lelo Bonaya[Read More…]
Na Carol Waforo Wizara ya afya jimboni Marsabit imedhibitisha uwepo wa uhaba wa chanjo ya BCG kama inavyoshuhudiwa katika sehemu nyingi nchini. Haya yamewekwa wazi na waziri wa afya jimboni Marsabit Malicha Boru ambaye amezungumza na shajara ya Radio Jangwani. Waziri amedokeza kuwa wizara ya afya nchini imeahidi kuwa chanjo[Read More…]
Na Carol Waforo Wizara ya afya jimboni Marsabit imedhibitisha uwepo wa uhaba wa chanjo ya BCG kama inavyoshuhudiwa katika sehemu nyingi nchini. Haya yamewekwa wazi na waziri wa afya jimboni Marsabit Malicha Boru ambaye amezungumza na shajara ya Radio Jangwani. Waziri amedokeza kuwa wizara ya afya nchini imeahidi kuwa chanjo[Read More…]
Na Samuel Kosgei Chama cha Kitaifa cha wafanyabiashara na viwanda (KNCCI) kimerai serikali kuu kuwahusisha kikamilifu mwaka huu wanapotayarisha mswada wa fedha wa 2025 kinyume na ilivyokuwa miaka ya nyuma. Naibu mwenyekiti wa chama hicho cha wafanyabiashara tawi la Marsabit Ali Noor ameambia shajara kuwa kutohusishwa kikamilifu kwa chama cha[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Mila potovu na utamaduni zimetajwa kama sababu kuu za kuwakandamiza wanawake katika nafasi za ajira na uongozi haswa katika jamii za wafugaji. Haya yamekaririwa na mkurugenzi wa shirika la kutetea haki za binadamu nchini la HURIA, Yusuf Lule. Akizungumza baada ya kuzinduliwa kwa mpango wa utekelezaji wa[Read More…]
Na JB Nateleng, Wakazi wa vijiji vya Nawapa, Kulamawe na Kilimambogo eneo la Loiyangalani, eneo Bunge la Laisamis kaunti ya Marsabit wamelalamikia uhaba wa maji na kuitaka idara ya maji kuingilia kati na kutatua changamoto hiyo. Wakizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipekee, wakazi hao wamesema kuwa wamekumbwa na[Read More…]
Idara ya kitaifa ya kutathmini takwimu (KNBS) kwenye ripoti yake ya hivi punde imesema kuwa kaunti ya Marsabit ni mojawapo ya kaunti zinazokua kimaendeleo kwa kasi nchini miaka ya hivi karibuni. Kwenye ripoti yake hapo jana shirika hilo la takwimu limesema kuwa Marsabit imekua kiuchumi kwa asilimia 9.3 ikiongoza orodha[Read More…]
Wazazi wa shule ya upili ya Sasura girls iliyo eneo la Qubi Bagasa eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit wamejitokeza na kupinga hatua ya tume ya kuajiri walimu nchini TSC kubadilisha uongozi wa shule hiyo. Wazazi hawa wameelezea kutofurahishwa kwao na maamuzi ya kumhamisha hadi shule hiyo Madina Marme[Read More…]
Aliyekuwa mwalimu mkuu wa shule ya Sasura Girls Fatuma Abdi amekabidhi uongozi wa shule hiyo kwa naibu wa mwalimu mkuu Paul Mugambi. Akizungumza baada ya ya kukabidhi Mugambi uongozi wa shule ya upili ya Sasura girls mbele ya mkurugenzi wa elimu katika kaunti ya Marsabit Peter Magiri, mwalimu Fatuma ameondoa[Read More…]