Author: Editor

Wanaonufaika na mpango wa INUA JAMII kaunti ya Marsabit watakiwa kuwa na subira serekali inaposuluhisha baadhi ya changamoto….

Na Isaac Waihenya, Wakaazi wanaonufaika na mpango wa serekali wa INUA JAMII katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwa na subira na kuipa serekali muda kusuluhisha baadhi ya changamo ambazo zimeukomba mfumo mpya wa kuwapa fedha zao. Kwa mujibu afisa anyeimamia huduma za jamii katika kaunti ndogo ya Saku, Lelo Bonaya[Read More…]

Read More

Chama cha Kitaifa cha wafanyabiashara na viwanda kinataka serikali kuwahusisha kwenye mswada wa fedha wa 2025 kinyume na ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Na Samuel Kosgei Chama cha Kitaifa cha wafanyabiashara na viwanda (KNCCI) kimerai serikali kuu kuwahusisha kikamilifu mwaka huu wanapotayarisha mswada wa fedha wa 2025 kinyume na ilivyokuwa miaka ya nyuma. Naibu mwenyekiti wa chama hicho cha wafanyabiashara tawi la Marsabit Ali Noor ameambia shajara kuwa kutohusishwa kikamilifu kwa chama cha[Read More…]

Read More

Aliyekuwa mwalimu mkuu wa shule ya Sasura Girls Fatuma Abdi amekabidhi uongozi wa shule hiyo kwa naibu wa mwalimu mkuu Paul Mugambi

Aliyekuwa mwalimu mkuu wa shule ya Sasura Girls Fatuma Abdi amekabidhi uongozi wa shule hiyo kwa naibu wa mwalimu mkuu Paul Mugambi. Akizungumza baada ya ya kukabidhi Mugambi uongozi wa shule ya upili ya Sasura girls mbele ya mkurugenzi wa elimu katika kaunti ya Marsabit Peter Magiri, mwalimu Fatuma ameondoa[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter