Mtu mmoja afariki kutokana na ugonjwa wa Kalazaar Marsabit, sita wakipokea matibabu kulingana na serikali ya kaunti.
February 21, 2025
Shirikisho la soka nchini FKF tawi la Marsabit linaweka mikakati kambambe ya kuhakikisha kwamba maswala ya michezo yanaendelezwa kiutalamu na kwa mipangilio inayofaa. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa FKF tawi la Marsabit Godana Roba ni kuwa wanapanga kukutana kama washikadau mbalimbali katika sekta hiyo ili kulaini mambo pamoja na utendakazi[Read More…]
Huku serekali ya Kenya kupitia idara ya afya ikiripoti kupungua kwa dawa za kupunguza makali ya virusi vya HIV, ARVs, wanaharakati wa kutetea haki za watu wanoishi na ugonjwa wa ukimwi wameiomba serekali kuweza kubuni mbinu mbadala ya kuhakikisha kuwa upungufu huu hautaadhiri upatikanaji wa ARVs. Wa hivi punde ni[Read More…]
Na Waandishi Wetu. Mwanamke mmoja na wazazi wa mume wake wamekamatwa na maafisa maafisa wa polisi katika eneo la Dololo Boji kaunti ndogo ya Dukana kaunti ya Marsabit baada ya kudaiwa kushirikiana kuwaua watoto mapacha waliozaliwa siku ya Jumapili. Kamishna msaidizi wa divesheni ya Dukana Nazarene Njuki amedai kuwa watoto[Read More…]
Na JB Nateleng “Matamshi ya rais mstaafu uhuru Kenyatta, kuhusu kupigania haki yanatia motisha wakenya na kuwapa nguvu ya kuendelea mbele” Hii ni kauli yake Harrison Mugo ambaye ni mwekahazina wa chama cha kisiasa cha National Vision Party (NVP). Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipekee Mugo amesema kuwa[Read More…]
Sasa ni afueni kwa wanafunzi 132 wa shule ya upili ya Goro Rukesa katika eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit baada ya baraza la mitihani nchini KNEC kuachilia matokeo ya mitihani yao ambayo yalikuwa yameshikiliwa. Wakati wa kutangazwa matokeo ya KCSE 2024 juma moja lililopita, ni watahiniwa saba pekee[Read More…]
Na Samuel Kosgei MSEMAJI wa serikali ya Marsabit Abdub Barille amewataka wazazi wa wanafunzi wanaofadhiliwa na serikali ya kaunti kutokuwa na hofu kuhusu hatima ya ufadhili huo wa kaunti kutokana na magavana kote nchini kuonywa na mdhibiti wa bajeti dhidi ya kutenga pesa za kufadhili masomo kwa wanafunzi wasiojiweza katika[Read More…]
Na Caroline Waforo Idara ya maji jimboni Marsabit imelalamikia utata unaozunguka usimamizi wa miradi ya maji jimboni. Hii ni kutokana na ufujaji mkubwa wa fedha unaoshuhudiwa katika kamati za usimamizi wa miradi hiyo zinazotawaliwa na watu wanaosemekana kuwa makateli. Akizungumza na shajara ya radio Jangwani leo Jumatatu waziri wa maji[Read More…]
Siku chache tu baada ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta kuwahimiza vijana wa Kenya kupigania haki wakazi wa mji wa Marsabit wameunga mkono matamshi yake wakisema kuwa yanatia moyo wananchi kusimama imara na kupigani haki yao. Baadhi ya waliozungumza na idhaa hii wamesema kuwa, matamshi yake Uhuru Kenyatta yanadhihirisha kuwa serekali[Read More…]
Understanding Potency Improvement Supplements In the quest for enhancing vitality and ensuring robust well-being, many individuals are turning to potency improvement supplements. These supplements are crafted to enhance male performance, boost energy, and improve overall wellness. As interest in these supplements rises, so does the need for clear, expert-backed information.[Read More…]
Na JB Nateleng, Kuna haja ya kutoa hamasa kwa wakulima kuhusu mbinu sahihi ya kilimo katika kaunti ya Marsabit, baada ya asilimia kubwa ya wakulima kupata hasara msimu uliopita wa mvua. Haya ni kwa mujibu wa afisa wa kilimo katika kaunti ya Marsabit Dub Nura. Akizungumza kwenye hafla ya kutoa[Read More…]