Highlights

Shughuli za usafiri zarejea kwenye barabara ya Korr-Marsabit

Na Sabalua Moses

Shughuli za usafiri zimerejea kwenye barabara ya Korr-Marsabit hii ni baada ya mvua kutatiza usafiri wa magari kwa siku chache.

Akizungumza na Shajara Naibu Kamishna wa kaunti ndogo ya Korr Boniface Kiptoo amesema kuwa barabara hiyo hutatizika wakati wa mvua kutokana na matope mengi .

Hata hivyo Kiptoo amewataka madereva kuwa waangalifu akisema kuwa baadhi ya maeneo kama Namarei, Malgis pia yalikuwa yametatizika kutokana na mvua iliyonyesha.

Radio Jangwani 106.3FM is a community radio station situated in Marsabit County broadcasting from Marsabit town. It is the brain child of the bishop of catholic diocese of Marsabit, Rt. Rev. Peter Kihara. It is established with the objective of reaching the people Marsabit diocese and Marsabit County for evangelization, Education, entertaining and disseminating information to the masses.

Post Comment