Wakaazi Marsabit Central watoa hisia mseto kuhusu pendekezo la kufuta ushuru wa mishahara kwa wakenya wa kipato cha chini ya shilingi 30,000
NA JB Nateleng Baadhi ya wakaazi wa Marsabit Central, eneo bunge la Saku, wamepongeza mpango…
Bunge la Kaunti ya Marsabit hutenga milioni 55Â kila mwaka wa kifedha kufadhili mpango wa chakula ECDE-Asema mwakilishi wadi mteule Kiya Jillo
NA JB Nateleng Naibu Mwenyekiti wa kamati ya Elimu katika bunge la kaunti ya Marsabit…
Mvulana wa miaka 14 ashtakiwa kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa miaka 7, Marsabit Central
Na Caroline Waforo Mvulana wa miaka 14 amekamatwa na kushtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa…
Wadau waitaka idara ya Elimu ya Chekechea kufuata kanuni za ajira na kuwalinda walimu
NA JB Nateleng Idara ya Elimu ya Chekechea katika Kaunti ya Marsabit imehimizwa kuwalinda walimu walioajiriwa…
Jamii eneo la Loiyangalani kaunti ya Marsabit yatolewa hamasa ya kuwapeleka wanao shuleni
NA Silvio Nangori Jamii eneo la Loiyangalani kaunti ya Marsabit imetolewa hamasa ya kuwapeleka wanao…
Idara ya afya Marsabit yaahidi kukarabati chumba cha kina mama kujifungua katika zahanati ya Shurr
NA Nyabande Orwa Waziri wa afya katika kaunti ya Marsabit, Malicha Boru, ameahidi kuwa idara hiyo inashughulikia marekebisho…
Vijana waliopata Nyota Fund Marsabit wametakiwa kuchangamkia hatua ya kupewa leseni za biashara bure kwa mwaka mmoja
NA Samuel Kosgei VIJANA waliofaidi na mradi wa Nyota Fund katika Kaunti ya Marsabit wametakiwa…
Walimu wapya 84 waajiriwa na serikali ya jimbo ili kuinua viwango vya elimu ya ECDE
NA JB Nateleng Idara ya Elimu ya Chekechea katika Kaunti ya Marsabit imeajiri walimu 84,…
Wafanyabiashara wadogo Moyale kunufaika na mfumo mpya wa biashara bila ushuru.
NA Samuel Kosgei Itakuwa afueni kwa wafanyabiashara wadogo katika mji wa Moyale baada ya serikali…
Afueni kwa watu wanoishi na virusi vya UKIMWI Marsabit Central, serikali ya kaunti ikiwapa msaada wa chakula
NA JB Nateleng Ni afueni kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI katika kaunti ndogo…
Mwanaume mmoja afariki baada ya kufukiwa na mchanga katika machimbo ya Manyatta Daaba, Saku
NA Caroline Waforo. Mwanaume mmoja amefariki dunia baada ya kufukiwa na mchanga katika machimbo ya…
Maafisa wa Kliniki Marsabit kuendelea na mgomo wao.
NA Sabalua Moses Mgomo wa maafisa wa kliniki KUCO tawi la Marsabit unaendelea licha ya…