Lekuton ataka doria za polisi kuimarishwa eneo la Yel, Kargi baada ya mkazi kupigwa risasi maajuzi mpakani.
Na Samuel Kosgei Mbunge wa Laisamis, Joseph Lekuton, amemtaka Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba…
Ongezeko la mafua na homa miongoni mwa jamii lawatia wasiwasi wakazi wa Loiyangalani.
NA Samuel Kosgei MWAKILISHI wa wadi ya Loiyangalani, Musa Emojo, ameihimiza idara ya afya katika…
Hatua ya kutimuliwa kwa Edwin Sifuna kama katibu mkuu wa ODM yaendelea kuibua hisia mseto Marsabit
NA JB Nateleng Hatua ya kamati Kuu ya chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kumfurusha…
Aliyekuwa Jaji Mkuu David Maraga azuru Saku, awahimiza wakaazi kujisajili kama wapiga kura
NA JB Nateleng Mwaniaji wa kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 kupitia…
Wakaazi Marsabit wapendekza nyongeza ya mishahara kwa maafisa wa akiba NPR
NA Caroline Waforo Wakaazi katika kaunti ya Marsabit wamependekeza serikali kuboresha maslahi ya maafisa wa…
Wafugaji Marsabit wahimizwa kutafuta usaidizi wa kitabibu wanapokabiliwa na changamoto za afya ya akili
NA Caroline Waforo Wafugaji katika kaunti ya Marsabit wamehimizwa kutafuta huduma za afya ya akili…
Gavana Mohamud Ali aungana na magavana wenzake kukashifu maseneta kwa madai ya hongo
NA Caroline Waforo Gavana wa kaunti ya Marsabit Mohamud Ali ameungana na magavana wenzake kukashifu…
Wakaazi Marsabit watakiwa kuzingatia usafi wa mazingira
NA JB Nateleng Wakaazi wa mji wa Marsabit wametakiwa kuzingatia usafi wa mazingira kwa kuhakikisha…
Viwango vya matumizi ya dawa za kulevya vimeripotiwa kuwa juu, Marsabit
NA Caroline Waforo Viwango vya matumizi ya dawa za kulevya katika kaunti ya Marsabit vimeripotiwa…
Wachimba migodi waonywa dhidi ya uchimbaji haramu wa dhahabu katika machimbo ya Dabel
NA Caroline Waforo Wachimba migodi wanaoendelea na shughuli za kusaka dhahabu kwa njia haramu katika…
Siku ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji waadhimishwa Loglogo
NA Silvio Nangori Jamii ya loglogo katika kaunti ya marsabit leo imeungana na ulimwengu kuadhimisha…
Asilimia 97 ya wanafunzi wamejiunga na gredi ya 10, Marsabit
NA Caroline Waforo Asilimia 97 ya wanafunzi wa gredi ya 10 katika kaunti ya Marsabit…