Loading Now

Highlights

Wazazi watakiwa kutumia muda wa kutosha na watoto wao katika kipindi hiki cha likizo ndefu

Wazazi wametakiwa kutumia muda wa kutosha na watoto wao katika kipindi hiki cha likizo ndefu.

Mratibu wa mamlaka ya kukabiliana na dawa za kulevya katika kaunti ya Marsabit, Mohammed Wako, amesema ni muhimu wazazi kuwa wazi na watoto wao na kuwapa mwongozo kuhusu masuala mbalimbali ya maisha, hasa wakati huu ambapo matumizi ya teknolojia yameongezeka kwa kasi.

Amesema wazazi wanapaswa kuwasikiliza watoto wao, kujadiliana nao mara kwa mara na kuwafundisha umuhimu wa maadili mema ili kuwaepusha na tabia hatarishi.

I

Radio Jangwani 106.3FM is a community radio station situated in Marsabit County broadcasting from Marsabit town. It is the brain child of the bishop of catholic diocese of Marsabit, Rt. Rev. Peter Kihara. It is established with the objective of reaching the people Marsabit diocese and Marsabit County for evangelization, Education, entertaining and disseminating information to the masses.

Post Comment