Loading Now

Highlights

Wazazi wa shule ya msingi ya Comboni Marsabit waandamana kutokana uongozi wa shule hiyo kubadilishwa.

NA JOHN BOSCO NATELENG

Shughuli ya ufunguzi wa shule kwa muhula wa kwanza mwaka huu 2026 umetatizika katika shule ya msingi ya Comboni iliyoko eneo la Mlima mitatu, eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit baada ya wazazi wa eneo hilo kukatalia lango kuu la shule wakitaka tume ya kuajiri walimu (TSC) kutoa maelezo zaidi kuhusu uteuzi wa mwalimu mkuu mpya.

Kulingana na wazazi hawa wanahisi kwamba tume hiyo imewatenga wakati walipokuwa wanafanya uteuzi huu wakidai kwamba imeharakishwa na pia hawajahusishwa ipasavyo.

Wamesisitiza kwamba tume ya TSC inafaa kuangazia na kusikia mlalamishi pamoja na maslahi ya jamii ya eneo hilo na kuleta mtu ambaye atasaidia katika kuleta utulivu na uhusiano mwema baina ya jamii. 

Radio Jangwani 106.3FM is a community radio station situated in Marsabit County broadcasting from Marsabit town. It is the brain child of the bishop of catholic diocese of Marsabit, Rt. Rev. Peter Kihara. It is established with the objective of reaching the people Marsabit diocese and Marsabit County for evangelization, Education, entertaining and disseminating information to the masses.

Post Comment