Local Bulletins

regional updates and news

Mo Salah anaweza Kushiriki Olimpiki mwaka ujao.

Na Waihenya Isaac. Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Misri chini ya umri wa miaka 23 Shawky Gharib, amesema ni mapema mno kutangaza maamuzi ya kumjumuisha mshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah, kwenye kikosi chake kwa ajili ya michuano ya Olimpiki 2020, itakayofanyika mjini Tokyo, Japan. Tayari Misri imeshafuzu kushiriki[Read More…]

Read More

Mourinho Says he wants to see the “REAL” Dele Ali.

Na Waihenya Isaac. Tottenham Hotspurs Manager Josehe wants to see the “REAL” Dele Alli again at Tottenham and has challenged the England international to turn his form around. Alli established himself as one of the brightest talents in English football under Mauricio Pochettino at Spurs, contributing prolifically from midfield. He[Read More…]

Read More

AFISA WA POLISI AJIUA, DUKANA

Na Adano Sharawe. Afisa mmoja wa polisi katika kambi ya Buluk, kaunti ndogo ya North Horr aliyeripotiwa kupotea siku 3 zilizopita amepatikana akiwa ameaga dunia. Konstabo Abdiaziz Mohammed Aden aliripotiwa kutoweka siku ya Jumatatu wiki hii. Mwili wake uliokuwa umeanza kuoza ulipatikana na wafugaji eneo la Araftis, lokesesheni ya Sabare[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter