County Updates

County updates, notifications, news from the Marsabit County

Mtu mmoja ajeruhiwa baada ya mzozo kati ya jamii mbili kuzuka Jumatano asubuhi katika eneo la Arapal.

Na Waihenya Isaac, Mtu mmoja alijeruhiwa wakti mzozo kati ya jamii mbili ulipozuka hii leo asubuhi katika eneo la Arapal wadi ya Loiyangalani kaunti ya Marsabit. Akidhibitisha kisa hicho kamishina wa kaunti ya Marsabit Paul Rotich ametaja kuwa mzozo ulizuka baina ya jamii mbili kuhusiana na eneo la malisho japo[Read More…]

Read More

Kaunti ya Marsabit imetajwa kuwa miongoni mwa kaunti ambazo zinashuhudia visa vingi vya mimba za mapema.

Na Silvio Nangori, Kaunti ya MARSABIT imetajwa kuwa miongoni mwa kaunti ambazo zinashuhudia visa vingi vya mimba za mapema. Kaunti zingine katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa Kenya -Embu, Kitui na Machakos zimetajwa pia kuathirika. Kaunti ya Nairobi imetajwa kuongoza nchini kwa visa vingi Zaidi mwaka huu. Haya ni kwa[Read More…]

Read More

Ukosefu wa usalama waathiri biashara ya kuuza nyama katika eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit.

Na Emmanuel Amalo, Mwenyekiti wa chama cha wauza nyama-Butcher Sacco eneo hili, Diba Galgallo amesema kuwa wanapitia changamoto si haba kutokana na machafuko ya kila mara katika eneo hili. Galgallo amedokeza kuwa biashara hiyo huathirika vibaya kila mara kunapotokea mapigano ya kikabila ikizingatiwa kichinjio kikuu kiko nje kidogo ya mji[Read More…]

Read More

Idara ya polisi nchini yatoa onyo kwa viongozi wa kisiasa wanaowatumia vibaya vijana.

Na Waihenya Isaac, Idara ya polisi nchini imetoa onyo kwa viongozi wa kisiasa wanaowatumia vibaya vijana kuleta virugu miongoni mwa jamii wakati huu tunapokaribia uchaguzi mkuu mwaka ujao. Akizungumza na waandishi wa habari inspekta jenerali wa polisi Hillary Mutyambai amesema kuwa idara ya polisi iko macho na itatumia mbinu zozote[Read More…]

Read More

Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Marsabit wanafaa kuwajibikia swala la usalama kikamilifu.

Na Waihenya Isaac, Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Marsabit wanafaa kuwajibikia swala la usalama kikamilifu na kuhubiri Amani katika mikutano yao. Hayo ni kwa mujibu wa muaniaji wa kiti cha ubunge katika eneobunge la Saku mwaka wa 2022 Abduba Barille. Akizungumza na waandishi wa habari,Barille ametaja kuwa wanasiasa katika[Read More…]

Read More

Viongozi ambao hawashabikii Amani hawafai kuchaguliwa kwa vyovyote vile. – Asema Askofu Daniel Qampicha.

Na Waihenya Isaac, Viongozi ambao hawashabikii swala la Amani katika kaunti ya Marsabit hawafai kuchaguliwa kwa vyovyote vile. Hayo ni kwa mujibu wa Askofu wa kanisa la Kiangilikana katika kaunti ya Marsabit Daniel Qampicha. Akizungumzasiku ya jumapili katika kaunti ya Marsabit wakti wa maadhimisho ya miaka 10 tangu kuasisiwa kwa[Read More…]

Read More

Watoto watatu waendelea kupokea matibabu katika hospitali ya rufaa ya Marsabit baada ya kupigwa risasi usiku wa kuamkia leo.

Na Emmanuel Amalo, Watoto watatu wamefikishwa katika hospitali ya rufaa ya Marsabit baada ya kupigwa risasi usiku wa kuamkia leo baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana. Akidhibitisha kisa hicho afisa mkuu wa hospitali ya rufaa ya Marsabit Liban Wako amesema kwamba kwa sasa watatu hao wanauguza majeraha ya risasi ila[Read More…]

Read More

Maseneta wamemtaka waziri wa elimu George Magoha pamoja na wakuu wa chama cha shule za upili KESHA kufika mbele yake.

Na Waihenya Isaac, Maseneta wamemtaka waziri wa elimu George Magoha pamoja na wakuu wa chama cha shule za upili KESHA kufika mbele yake kutoa maelezo kuhusiana na kukithiri kwa visa vya uteketezaji wa majengo ya shule. Maseneta hao aidha wamelalamikia utovu wa nidhamu ya wanafunzi miongoni mwa wanafunzi vilevile kipindi[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter