Kenya Yaungana Na Ulimwengu Kusherehekea Siku Ya Wanyamapori Duniani
March 3, 2021
By Waihenya Isaac,
Viongozi wa kidini nchini wametakiwa kuwa Katika mstari wa mbele katika kuwaelimisha wananchi kuhusiana na mchakato wa BBI.
Kwa Mujibu wa Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo kuu la Mombasa Askofu mkuu Martin Kivuva ni kuwa ni jukumu la kila kiongozi wa kidini kuelimisha waumini wake kuhusiana ripoti hiyo ili kufahamu kilichomo kabla ya kufanya maamuzi ya kuipinga au kuiunga mkono.
Askofu Kivuva amewahimiza viongozi wote wa kidini kuelezea kwa kina manufaa ya BBI na vipengee ambavyo vinapaswa kufanyiwa marekebisho ya kura ya maamuzi.
Aidha amewataka viongozi wa kisiasa nchini kuhubiri amani na sio kuwagawanya Wakenya katika mirengo ya kisiasa.
I haven’t checked in here for a while because I thought it was getting boring, but the last several posts are good quality so I guess I’ll add you back to my daily bloglist. You deserve it my friend 🙂
what is tadalafil: http://tadalafilonline20.com/ buy tadalafil us