Local Bulletins

regional updates and news

Aden Duale si msemaji wa wafugaji asema Mbunge Alois Lentoimaga wa Samburu Kaskazini

Na Silvio Nangori Aliyekuwa kiongozi wa wengi bungeni Aden Duale ameonywa dhidi ya kuzungumza kwa niaba ya wafugaji humu nchini. Akizungumza na wanahabari Mbunge wa Samburu Kaskazini Alois Lentoimaga na ambaye ni wenyekiti ya jamii ya wafugaji amesema kwamba Duale amekosea heshima jamii za wafugaji kwa kuwajumlisha katika mazungumzo yake.[Read More…]

Read More

Shirika la Human Rights Watch lasema Mahitaji ya Chanjo Yanakiuka Haki za Kenya.

Na Samuel Kosgei, SHIRIKA la haki za kibinadamu la Human Rights Watch imeedelea kushutumu hatua ya serikali ya Kenya kulazimishia wakenya kupokezwa chanjo ili kupokea huduma za kiserikali. Masharti hayo ya kuzuia wakenya kupokea huduma za kiserikali yataanza kutekelezwa tarehe 21 Desemba 2021. Kufikia mwishoni mwa mwezi Disemba takriban asilimia 10 ya[Read More…]

Read More

Wanyamapori waathirika na makali ya kiangazi Kaskazini na Mashariki mwa nchi

Na Silvio Nangori Wanyamapori wameripotiwa kuathirika Zaidi kufuatia Kiangazi kinachoendelea kushuhudiwa katika maeneo ya kaskazini mwa nchi na kulemaza shughuli ya Shirika la kulinda wanyamapori. Ukosefu wa mvua katika maeneo mengi kama vile kaunti ya Marsabit, Isiolo Wajir na Garissa, kumeripotiwa kuaga dunia kwa wanyama pori.   Hali hiyo inadaiwa[Read More…]

Read More

Mwalimu wa chuo cha kati akamatwa baada ya kukosa kuwasajili wanafunzi kwa mitihani ya kitaifa Isiolo

Na Emmanuel Amalo Mwalimu mkuu wa chuo cha kati cha mafunzo ya ualimu Maria consolata katika jimbo Katoliki la isiolo Lmoti Emmanuel Ekisa amekamatwa kwa kukosa kulipia wanafunzi 30 usajili wa mitihani ya ECDE ambao ingeanza siku ya jumanne. Inaaminika kuwa Mwalimu Mkuu huyo amepokea pesa shilingi 300,000 katika usajili wa wanafunzi[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter