Kenya Yaungana Na Ulimwengu Kusherehekea Siku Ya Wanyamapori Duniani
March 3, 2021
By Adano Sharawe,
Mwakilishi wadi ya Uran eneo bunge la Moyale Halkano Konso amechiliwa kutoka kwa kizuizi cha polisi juma moja baada ya kutiwa mbaroni na makachero wa DCI mjini Marsabit.
Maafisa wa idara hiyo walikuwa walimkata Konso akihusishwa na kisa cha siku ya Jumamosi ambapo gari moja la serikali ya kaunti lilinaswa na maafisa wa kushika doria katika mpaka wa Turbi na Sololo.
Konso, anayedaiwa kuwa mmoja wa wahusika wakuu wa sakata hiyo, anasemekana kuingia mafichoni baada ya kisa hicho kutokea lakini alijisalimisha baada ya kutakiwa kufanya hivyo la sivyo atangazwe kuwa mtu hatari aliyejihami kwa silaha na kuhusika katika visa vya ukosefu wa usalama katika Kaunti ya Marsabit.
Mengi yafuata…
I¦ve read several just right stuff here. Certainly price bookmarking for revisiting. I surprise how much effort you place to create the sort of wonderful informative web site.