7 DAY CUMULATIVE RAINFALL FORECAST VALID FROM 16TH TO 22ND DEC 2025
Marsabit County Seven-day weather forecast valid from 16th to 22nd Dec 2025 indicates a slight…
CABINET NEWS KENYA 2025
On 15th, 2025, the Cabinet chaired by President William Ruto, sat and ratified as follows:…
Washikadau mjini Marsabit watetea nafasi ya mtoto wa kiume katika jamii.
NA NYABANDE ORWA Wakati mashirika mbalimbali na wadau wakielekeza juhudi zao kwa mtoto wa kike,…
Maafisa wa polisi Marsabit kutumia mahakama tamba kuwawajibisha madereva wanaokiuka sheria za trafiki papo hapo.
NA NYABANDEÂ ORWA Kamanda wa Polisi wa kaunti ya Marsabit, Leonard Kimaiyo, ametoa wito kwa madereva…
Nyingi ya shule Marsabit kutoa mafunzo ya STEM na Sayansi ya Kijamii huku Sanaa na Spoti ikitajwa kuwa na changamoto ya muundo msingi.
NA SAMUEL KOSGEI Shule nyingi kwenye gredi ya 10 hadi 12 katika kaunti ya Marsabit…
Aliyekuwa Waziri wa Fedha, Ukur Yatani, awahimiza vijana kuchagua viongozi watakaosaidia kutatua changamoto zinazowakabili kila siku.
NA NYABANDE ORWA Aliyekuwa Waziri wa Fedha, Ukur Yatani, amewahimiza vijana kujitokeza na kuchagua viongozi…
Mahakama ya leba mjini Nyeri imesitisha mgomo wa maafisa wa kliniki chini ya muungano wao wa KUCO, tawi la Marsabit kwa kipindi cha siku 30 zijazo.
NA SABALUA MOSES Hatua hii inakusudia kutoa nafasi ya mazungumzo ya kina na ya nia…
Viongozi wa Marsabit waomba msaada wa chakula msimu wa kiangazi ukirindima.
NA NYABANDE ORWA Viongozi wa kaunti ya Marsabit wametoa wito kwa wahisani na wadau mbalimbali…
Shirika la, MWADO, lazindua kitengo kipya cha nambari za dharura ili kukabili dhulma za kijinsia.
NA NYABANDE ORWA Shirika la kutetea haki za binadamu, la Marsabit Women Advocacy & Develpoment Organisation, MWADO,…
Polisi waimarisha oparesheni ya kuwarejesha mifugo walioibiwa eneo la Moite.
NA HENRY KHOYAN Polisi wamethibitisha kuwa wameimarisha oparesheni ya kusaka mifugo iliyoporwa katika eneo la…
Marsabit yaorodheshwa miongoni mwa kaunti 9 zilizoko kwenye tahadhari ya ukame nchini.
NA CAROLINE WAFORO Kaunti ya Marsabit iko katika hali ya tahadhari ya ukame kutokana na…
Mtu aaga dunia, wengine 7 wakipata majeraha baada ya gurudumu la gari kupasuka eneo la Gof Choba Marsabit.
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine saba kupata majeraha kufuatia ajali ya barabara iliyotokea asubuhi…