County Updates, Diocese of Marsabit, Local Bulletins

WITO UMETOLEWA KWA WASICHANA KATIKA KAUNTI YA MARSABIT KUJIUNGA NA UTAWA ILI KUINDELEZA INJILI.

Picha Hisani

Na Moses Sabalua,  

Wito umetolewa kwa wasichana hapa jimboni Marsabit kujiunga na mashirika mbalimbali ya watawa na baadea kutumika kuendeleza ijili.

Akizungumza na idhaa hii mtawa kutoka shirika la Fransiscan Sisters of St Joseph, mtawa Monica Anastacia amesema kuwa shirika hilo lipo tayari kuwakaribisha  wasichana wote ambao wangetaka kujiunga na shirika hilo ambalo tawi lake lipo katika Parokia ya Sololo.

Vilevile mtawa Monica amesema kuwa wasichana kujiunga na shirika hilo kutasaidia katika kuendeleza injili yake  Kristo pamoja na kuwasaidia kukua kiroho.

Subscribe to eNewsletter