Watahiniwa wa mitihani ya kitaifa mwaka huu watakiwa kujiamini na kujiandaa ipasavyo
September 1, 2025
Itakuwa ni afueni kwa waathiriwa wa dhulma za kijinsia jimboni Marsabit iwapo kituo cha uokoaji katika eneo la Log logo itafunguliwa. Kwa mujibu wa mwekahazina wa kundi la Isogargaro Women Group Hellen Ildhani ni kuwa kituo hicho kitasaidia katika kuwalinda watoto, pamoja na watu wazima ambao wanapitia dhulma za kijinsia,[Read More…]
KIJANA MOJA MWENYE UMRI WA MIAKA 22 AMEJITIA KITANZI MJINI MARSABIT. Kijana moja mwenye umri wa miaka 22 amejiua kwa kujitia kitanzi mjini Marsabit. Akithibitisha kisa hicho kamanda wa polisi kaunti ya Marsabit Leonard Kimaiyo amedokeza kuwa Kijana huyo alijitia kitanzi kutumia kamba katika eneo la Manyatta Willy viungani mwa[Read More…]
Afisa mmoja anayesimamia mitihani katika shule ya mseto ya Ruso iliyoko katika kaunti ndogo ya North Horr amekamatwa hii leo kwa jaribio la kuiba mtihani wa KCSE inayoendelea. Akidhibitisha tukio hilo kamanda wa polisi kaunti ya Marsabit Leonard Kimaiyo amesema kuwa mshukiwa alikamatwa akipiga picha mtihani wa hesabu na kutuma[Read More…]
Wazazi Marsabit wahimizwa kutowaficha watoto walio na ulemavu wa kupooza kwa ubongo maarufu celebral palsy. Wazazi katika kaunti ya Marsabit wamehimizwa kutowaficha watoto walio na ulemavu wa kupooza kwa ubongo maarufu celebral palsy, hali ambayo huathiri ubongo wa mtoto, mama akiwa mja mzito. Ni hamasa ambayo imetolewa na mhudumu wa[Read More…]
Watoto walio kati ya umri wa miaka 8 hadi 17 huwa wanakumbana na changamoto ya kufanya maamuzi ambayo yatawajenga kimaisha jambo ambalo limetajwa kuwa linawaathiri kwa kiwango kikubwa. Kwa mujibu wa afisa anayesimamia mradi wa kituo cha maendeleo cha watoto (CDC) katika kanisa la E.A.P.C jimbo la Marsabit Mike Kinoti,[Read More…]
Wazazi katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwa wangalifu kipindi hichi likizo ili kuhakikisha kwamba wanao hawajiingizi katika utumizi wa mihadarati. Kwa mujibu wa mwalimu Sarah Wanyeki ni kuwa ni jukumu la wazazi kujua waliko wanao kipindi cha likizo ili wasije wakajihisisha na maovu. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa[Read More…]
Baada ya waziri wa usalama Profesa Kithure Kindiki kuapishwa kama naibu wa rais mpya hii leo, wakaazi wa kaunti ya Marsabit wametoa hisia zao kuhusiana na hatua hiyo. Baadhi ya waliozungumza na shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya kipekee, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi uliofanywa na mahakama pamoja na Rais Ruto kwa kumchagua[Read More…]
Wazazi katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwa wangalifu kipindi hichi likizo ili kuhakikisha kwamba wanao hawajiingizi katika utumizi wa mihadarati. Kwa mujibu wa mwalimu Sarah Wanyeki ni kuwa ni jukumu la wazazi kujua waliko wanao kipindi cha likizo ili wasije wakajihisisha na maovu. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa[Read More…]
Wakaazi wa Marsabit wamehimizwa kutumia bima ya mifugo ilikuepukana na athari ya janga la ukame ,hii ni kwa mujibu wa afisa wa uhusiano mwema katika idara ya mifugo Asha Galgallo Akizungumza na idha hii afisini mwake Galgalo amesema kuwa kwa sasa Watu elfu nane wamejisajili tangu bima hiyo kuanza lakini[Read More…]
Wazazi katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kutowaficha watoto wanaoishi na ulemavu na badala yake kuwapeleka shule ili wapate elimu. Kwa mujibu wa mshiriki wa baraza la watu wanaoishi na ulemavu (NCPWD) kaunti ya Marsabit Ahmed Abdi,ni kuwa watoto wanaoishi na ulemavu wanafaa kupewa haki sawa na wale wengine. Akizungumza na[Read More…]