Kenya Yaungana Na Ulimwengu Kusherehekea Siku Ya Wanyamapori Duniani
March 3, 2021
Diocese News Bulletin, Notices and Communique from the Ordinary
By Jillo Dida Jillo, Mbunge wa Moyale Qalicha Gufu ameiomba serikali na tume ya maridhiano ya kitaifa NCIC kumkamata na kumshtaki aliyekuwa mwakilishi wa wadi ya Torbi, Pius Yatani kwa kutoa matamshi ya uchochezi ya kijamii katika kaunti ya Marsabit miaka miwili iliyopita. Mbunge huyo ameteta kuwa licha ya agizo la polisi kumkamata mwanasiasa huyo, bado[Read More…]
By Samuel Kosgei, Askofu Michael Otieno Odiwa alisimikwa rasmi na kama Askofu wa kanisa Katoliki jimbo la Homabay Jumanne, baada ya uteuzi wake mwaka jana. Sherehe ya kusimikwa kwake ilifanyikia katika shule ya upili ya Homabay Boys. Hafla hiyo ya kumtawaza Askofu Odiwa iliongozwa na mwakilishi wa Papa humu nchi Kenya Askofu Mkuu Nuncio[Read More…]
By Jillo Dida , Mwakilishi wadi ya Uran eneo bunge la Moyale kaunti ya Marsabit, Halkano Konso amejiwasilisha ktk afisi za makachero wa DCI mjini Marsabit leo asubuhi. Duru inaarifu kuwa Halkano alisafirishwa baada ya kumaliza kuandikisha taarifa hadi eneo ambalo halijajulikana ambapo pia wanahabari walizuiliwa kuzungumza naye. Inaarifiwa kuwa[Read More…]
By Jillo Dida Jillo Kaunti ya Marsabit imeungana na wakenya wengine kusheherekea juhudi zake za kukabiliana na ugonjwa wa saratani huku Ulimwengu ukiadhimisha siku ya kimataifa ya saratani hii leo -kauli mbiu wa mwaka huu ikiwa ni ushirikiano kati ya wagonjwa na wahudumu katika kukabili saratani hapa nchini. Maadhimisho ya[Read More…]
By Samuel Kosgei, Kadhi Mkuu wa Mahakama ya Marsabit Ibrahim Tullu ameonesha masikitiko yako kutokana na ongezeko la visa vya talaka kati ya wanandoa wa jamii zinazoishi jimbo hili. Kadhi Tullu akisema na shajara ya jangwani amekiri kuwa tangu ajiunge na idara ya mahakama ktk kaunti ya Marsabit September[Read More…]
By Adano Sharawe, Serikali itawachukulia hatua kali za kisheria viongozi waliohusika katika kupanga na kufadhili mapigano ya kikabila yaliyoshuhudiwa kaunti ya Marsabit. Waziri wa Usalama wa Kitaifa Dkt Fred Matiangi amesema serikali inaendelea kuwachunguza viongozi ambao wamekuwa wakiwapa silaha wenyeji kuiba mifugo na kutekeleza mauaji jimboni. Akifika mbele ya Kamati[Read More…]
Gavana Wa Kaunti Ya Isiolo Mohamed Kuti. Picha; Hisani By Samuel Kosgei, Ni afueni kwa wakaazi wa kaunti ndogo ya Garbatulla baada ya serikali ya kaunti ya Isiolo kuzindua mashine aina tofauti ambazo zinalenga kuboresha huduma za matibabu katika eneo hilo na hata kwa watu wanoishi maeneo jirani. Akizindua mashine[Read More…]
Waziri Wa Fedha Ukur Yattani. Picha; Hisani. By Adano Sharawe, Waziri wa Fedha Ukur Yattani amewapa muda wa siku 3 Mbunge wa Saku Dido Ali Rasso na Mwakilishi wa Wanawake katika kaunti ya Isiolo Rehema Jaldesa, kumuomba msamaha kwa njia rasmi. Hatua hii inafuatia baada ya wawili hao kudai Yattani[Read More…]
By Adano Sharawe, Wasomi wa Jamii ya Borana kutoka Kaunti ya Marsabit na Isiolo wametoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta kuingilia kati na kumaliza hali ya utovu wa usalama katika eneo la Kaskazini ambao wanasema imechochewa na migogoro juu ya mipaka na rasilimali mbalimbali. Wakihutubia wanahabari jijini Nairobi, wasomi[Read More…]
By Vatican News The vaccination campaign against Covid-19 in the Vatican which began on Wednesday continues with both Pope Francis and Pope Emeritus Benedict XVI receiving their first doses of the vaccine. “I can confirm that as part of the vaccination program of the Vatican City State, as of today,[Read More…]