Diocese of Marsabit

Kaunti ya Marsabit imeongezewa kauti ndogo 4 zaidi na kuifainya kuwa na jumla ya kaunti ndogo kuwa 13.

Na Isaac Waihenya, Kaunti ya Marsabit imeongezewa kauti ndogo 4 zaidi na kuifainya kuwa na jumla ya kaunti ndogo kuwa 13. Kupitia gazeti rasmi la serekali, wizara ya usalama wa ndani imeziongeza kaunti ndogo za Korr makao yake makuu yakiwa ni Korr, Sagante/Jaldesa, Uran  na  kaunti ndogo ya Golbo ambayo  makao[Read More…]

Read More

Warsha ya siku tatu ya kutoa mafunzo ya kidini kwa walimu wa watoto wa kanisa katoliki PMC yangoa Nanga.

By Waihenya  & Qabale, Warsha ya siku tatu ya kutoa mafunzo ya kidini kwa walimu wa watoto wa kanisa katoliki PMC katika jimbo la Marsabit imengoa nanga rasmi hii leo. Warsha hiyo ambayo inaongozwa na mratibu wa maswala ya vijana katika kanisa katolika jimboni Marsabit Sister Agatha Katuma Mativo inapania[Read More…]

Read More

Inter Faith Marsabit yakashifu vikali mauaji yanayoshuhudiwa hapa jimboni.

By Silvio Nagori, Baraza la madhehebu mbali mbali tawi la Marsabit limekashifu vikali mauaji yanaendelea kushuhudiwa hapa jimboni. Wakizungumza na waandishi wa habari hapa mjini Marsabit viongozi hao wamewataka wananchi kutolipiza kisasi jambo ambalo wamesema  kuwa linachangia katika vurugu za mara kwa mara. Wakiongozwa na mwenyekiti wao Askofu wa jimbo[Read More…]

Read More

Kamishna Paul Rotich Awahakikishia Wakaazi Wa Kaunti Ya Marsabit Usalama Wa Kutosha.

By Waihenya Isaac Kamishna wa kaunti ya Marsabit Paul Rotich amewahakikishia wakaazi wa kaunti ya Marsabit usalama wa kutosha. Akizungumza wakti wa Uzinduzi wa shihena ya Chakula cha msaada Kutoka kwa shirika la msaba mwekunduku uliofanyaika hapa mjini Marsabit,Kamishna Rotich ametaja kuwa serekali inafanya kila jitihada ili kuondoa kero la[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter