Taylor Swift Unveils New Secret Double Album.
April 19, 2024
Na Samson Guyo, Baada ya Mamlaka ya kudhibiti kawi nchini EPRA kutangaza kuongezeka kwa bei ya mafuta mapema wiki hii, wakaazi mjini marsabit wametoa hisia zao kuhusiana na hilo. Wakizungumza na Radio Jangwani baadhi ya wakaazi wakiwemo walio katika sekta ya uchukuzi pamoja na wale wamiliki wa magari na pikipiki[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Kaunti ya Marsabit imeongezewa kauti ndogo 4 zaidi na kuifainya kuwa na jumla ya kaunti ndogo kuwa 13. Kupitia gazeti rasmi la serekali, wizara ya usalama wa ndani imeziongeza kaunti ndogo za Korr makao yake makuu yakiwa ni Korr, Sagante/Jaldesa, Uran na kaunti ndogo ya Golbo ambayo makao[Read More…]
Na Samson Guyo, Uwanja wa spoti unaoendelea kujengwa katika kaunti ya Marsabit unaendelea vizuri licha ya kazi hio kutofanyika kwa kasi. Akizungumza na radio jangwani wakati kamati ya uratibu wa utekelezaji wa maendeleo ya kaunti (CDICC) ilipozuru uwanja huo jana, meneja wa mradi huo Edwin Ogach alisema kuwa kufikia sasa[Read More…]
Na Samuel Kosgei, Mwakilishi wadi wa Korr/Ngurnit Daud Tomasot ametaja kuwa hali ya ukosefu wa maji katika eneo la Korr kuwa janga kuu na kero sana katika hilo iwapo mvua haitanyeshi hivi karibuni. Tomasot anasema kuwa licha ya visima vingi kuchimbwa maji mengi yanatopatikana ni ya chumvi hivyo kuwa[Read More…]
By Waihenya & Qabale, Warsha ya siku tatu ya kutoa mafunzo ya kidini kwa walimu wa watoto wa kanisa katoliki PMC katika jimbo la Marsabit imengoa nanga rasmi hii leo. Warsha hiyo ambayo inaongozwa na mratibu wa maswala ya vijana katika kanisa katolika jimboni Marsabit Sister Agatha Katuma Mativo inapania[Read More…]
By Waihenya Isaac, Wakaazi mjini Marsabit wameandaa maandamano ya Amani kulalamikia ukosefu wa maji kwa muda wa wiki mbili sasa. Wakaazi hao waliojawa na ghadhabu waliandamana hadi katika afisi ya idara ya maji mjini kuwasilisha malalamishi yao. Wametaja kuwa imekuwa vigumu kwao kuendelea na maisha yao ya kawaida baada ya[Read More…]
By Silvio Nagori, Baraza la madhehebu mbali mbali tawi la Marsabit limekashifu vikali mauaji yanaendelea kushuhudiwa hapa jimboni. Wakizungumza na waandishi wa habari hapa mjini Marsabit viongozi hao wamewataka wananchi kutolipiza kisasi jambo ambalo wamesema kuwa linachangia katika vurugu za mara kwa mara. Wakiongozwa na mwenyekiti wao Askofu wa jimbo[Read More…]
By Waihenya Isaac Kamishna wa kaunti ya Marsabit Paul Rotich amewahakikishia wakaazi wa kaunti ya Marsabit usalama wa kutosha. Akizungumza wakti wa Uzinduzi wa shihena ya Chakula cha msaada Kutoka kwa shirika la msaba mwekunduku uliofanyaika hapa mjini Marsabit,Kamishna Rotich ametaja kuwa serekali inafanya kila jitihada ili kuondoa kero la[Read More…]
By Adano Sharawe, Wazazi na wanafunzi kutoka kaunti ndogo ya Laisamis wanasherehekea matokeo bora ya mtihani wa KCPE mwaka huu, wengi wao wakiwa wamepata alama 300 na zaidi. Hata hivyo, walielezea masikitiko yao ya kushuka kwa matokeo hayo kulinganisha na mwaka 2019. Kulingana na mzazi Edward Delea, janga la corona[Read More…]
By Mark Dida, Naibu mkurugezi wa shirika la kulinda wanyama pori kws Katika eneo la kaskazini mwa kenya Robert Obrein amewasuta wafugaji kwa kukata ua wa umeme Katika eneo la hulahula na karare ili kupata njia ya mkato kuingia msitituni. Akizungunza na idha hii kupitia njia ya simu Obrein ametaja[Read More…]